Wanawake mliofika 30+ acheni kutusumbua sisi washamba tunaovaa mashati ya vitenge na suruali za vitambaa

Wanawake mliofika 30+ acheni kutusumbua sisi washamba tunaovaa mashati ya vitenge na suruali za vitambaa

Chunguza vizuri huko ni kujihami na msongo tu , hakuna watu wanao pelekeshwa na mapenzi na uchumi,kama hawa vijana wanaokandia wanawake 🤔🤔
Ni kweli, halaf mbona kuna wanawake 40s huko lakin wako poa tu.
Mfano, mi wife kanipiga chini akiwa na 36 yrs na am sure anayemla bado anamfaidi tu maana si kwamba kachoka.
Sio kila mwanamke yuko desparate namna hiyo, kuna wengine wametuacha na si kwamba wana haja sana ya kuolewa
 
Kwanza ngoja niende kwa fundi nishone hiki kitenge changu cha batiki shati na suruali,yani suit ya kitenge ili wanisumbue vizuri shenzi hawa!
 
Ni kweli, halaf mbona kuna wanawake 40s huko lakin wako poa tu.
Mfano, mi wife kanipiga chini akiwa na 36 yrs na am sure anayemla bado anamfaidi tu maana si kwamba kachoka.
Sio kila mwanamke yuko desparate namna hiyo, kuna wengine wametuacha na si kwamba wana haja sana ya kuolewa
Kuna mdogo wangu anapondea sana wanawake kuja kumchunguza vizuri kumbe kuna mwanamke mmoja kamteka na anampelekesha vibaya sana, dogo alikua na duka la vifaa vya ujenzi limejaa, kalihonga mpaka limebaki kama mbavu za mbwa.

Ila ukimkuta kwenye vijiwe vya kahawa anavyopondea wanawake hautaamini ukijua maisha yake.
 
Vilio vimekua vingi dada zetu wapunguze spana asee
Sa kama yule ndugu Yako aliebaki na bakala tupu za duka lazima aponde
Wao hawajui kukataa Kila invoice wanatekeleza kama serikali ya Samia
Vacation✅
Outing ✅
Kisinia ✅
Nguo mpya✅
Wine ✅
Movie mlimani city✅
Mtaji wa salon✅
Kikoba✅
Kodi✅
Kijana akitoka hapo mweupe kama karatasi anakuja jf utasikia mbwa mbwa mbwa nyieeeee mbwa nyieee kmmmk mmezeeka !!!Sasa sisi wazee tunasema "give what you can afford to lose"
 
Back
Top Bottom