SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Imezeeka bhana hivi bado unahela zilizobakiKweli wee i will take u to the candy shop make u lick that lolipop ooohhh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imezeeka bhana hivi bado unahela zilizobakiKweli wee i will take u to the candy shop make u lick that lolipop ooohhh
Hivi mkeo ana ID HUMU kama hana basi simjui ila kama yupo humu kweli unakazi sanahahahaha , hana kiherehere bana mke wangu mpole kama Mimi ,yeye ofcn , nyumbani na kanisani basi
Sasa bosy out unamtoa nani weeekend hiiHahahaha hapana,ila unakaribia ukweli
Halafu ndio awe na nyash tena kijana yupo tayari hata kukopa ili wenzake waone anamiliki hiyo pisi .Sa kama yule ndugu Yako aliebaki na bakala tupu za duka lazima aponde
Wao hawajui kukataa Kila invoice wanatekeleza kama serikali ya Samia
Vacation✅
Outing ✅
Kisinia ✅
Nguo mpya✅
Wine ✅
Movie mlimani city✅
Mtaji wa salon✅
Kikoba✅
Kodi✅
Kijana akitoka hapo mweupe kama karatasi anakuja jf utasikia mbwa mbwa mbwa nyieeeee mbwa nyieee kmmmk mmezeeka !!!Sasa sisi wazee tunasema "give what you can afford to lose"
Soko nani alikuwambia nilikuwaga sokoni acha bangi wewe kitela . Ngozi kama kenge wa musoma.Hauna soko tena wewe wa 1990
Hahahaha weekend hii Out nipo hapa Msasani napunga upepo wa bahari, KaribuSasa bosy out unamtoa nani weeekend hii
Katoka kijijini kaja na gia ya 5g akaliwa kamtaki kaduka la misukule sasa analia nani huyo mzee kamla.Sa kama yule ndugu Yako aliebaki na bakala tupu za duka lazima aponde
Wao hawajui kukataa Kila invoice wanatekeleza kama serikali ya Samia
Vacation✅
Outing ✅
Kisinia ✅
Nguo mpya✅
Wine ✅
Movie mlimani city✅
Mtaji wa salon✅
Kikoba✅
Kodi✅
Kijana akitoka hapo mweupe kama karatasi anakuja jf utasikia mbwa mbwa mbwa nyieeeee mbwa nyieee kmmmk mmezeeka !!!Sasa sisi wazee tunasema "give what you can afford to lose"
Hahahaha,Mke wangu hana ID humu Wala FB ,Sina kazi yoyote, mie ndio msumbufu kwakeHivi mkeo ana ID HUMU kama hana basi simjui ila kama yupo humu kweli unakazi sana
HahahahaSoko nani alikuwambia nilikuwaga sokoni acha bangi wewe kitela . Ngozi kama kenge wa musoma.
UKija arusha utaniambiaHahahaha weekend hii Out nipo hapa Msasani napunga upepo wa bahari, Karibu
Huyu anastress kaliwa na mtu mzima mwenzake sasa analiaHahahaha
Arusha huko sijui lini labda kipindi Cha kampeni, kumbe uko Arusha ?UKija arusha utaniambia
So wale wanaojita mrs tresor tuwakemee tukiwaonaHahahaha,Mke wangu hana ID humu Wala FB ,Sina kazi yoyote, mie ndio msumbufu kwake
Hahahaha,mpe poleHuyu anastress kaliwa na mtu mzima mwenzake sasa analia
Hahahaha, kuna anayejiita Mrs Tresor humu?So wale wanaojita mrs tresor tuwakemee tukiwaona
Yes , Sir natamani nipate kazi mkoa mwingine nibadili hali ya hewaArusha huko sijui lini labda kipindi Cha kampeni, kumbe uko Arusha ?
Kwanza mimi nawapenda WANAUME WASHAMBA wanaovaa mashati ya vitenge kwa kweliii kule ndani wamejaliwa MIHOGO ILIYONONA na wanajua kugawa dozi haswaaa!Olewa leo hata kama mwanaume ni mshamba mvaa mashati ya kitenge, utambadilisha tu