Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Chukua rushwa kwa saundi huku mtoaji anatabasamu na kukusifu.Sikufundishi kila kitu.Huku kijijni ukileta unaa unapigwa mishale tu na wamang'ati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua rushwa kwa saundi huku mtoaji anatabasamu na kukusifu.Sikufundishi kila kitu.Huku kijijni ukileta unaa unapigwa mishale tu na wamang'ati
Naaam mkuu. Hii ndio dawa yaowacha watafute type zao
Kwaiyo mliokoka ndo Tendo la ndoa Hamfanyi?Okoka.Achana na mambo ya mbususu.Kunywa mtori utulie.
Si hivyo tu.Ikane nafsi yako,utwae msalaba wako na umfuate Yesu.Kwaiyo mliokoka ndo Tendo la ndoa Hamfanyi?
Mbona ndio mnazaa watoto kibao kuliko ambao hawajaokoka.
Dah!Unaomba u-house kwa kudeka sana.Kazi njema mkuu.Natafuta singlemaza 30+ awe na trako na tatoo kwenye paja itapendeza, komwe ni additional advantage
Dah😂😂😂Demu akizidi miaka 25 hapati hata 100 yangu.
Labda ajilete na anishawishi Kwa ukwasi wake
Muhaya ana mbwembwe kama zote.25 ni mzee?Dah😂😂😂
Tuishi humo mrembo wanguDah😂😂😂
Hii ni dalili umeonesha unaogopa wanawake.Demu akizidi miaka 25 hapati hata 100 yangu.
Labda ajilete na anishawishi Kwa ukwasi wake
25 yrs ni kikongweMuhaya ana mbwembwe kama zote.25 ni mzee?
[emoji1787]kataandoa u-house unanyimwa ukiwa kwenye ndoaDah!Unaomba u-house kwa kudeka sana.Kazi njema mkuu.
Haya buana 😄Tuishi humo mrembo wangu
Me najipa thamaniHii ni dalili umeonesha unaogopa wanawake.
Au na yeye anataka kuoa wa miaka 9?Nimestuka eti 25 jamani😄,. We ngara23 wewe