Thomas Brown
JF-Expert Member
- Jan 25, 2025
- 344
- 856
Wakati mpo wabichi wa miaka 19 mpaka 24, Sisi mlituona washamba.
Sisi mlituona hatuna swagger za watoto wa mjini.
Sisi mlituona tupo kama wazee wa kale.
Sisi mlituona tupo kama walimu wa vijijini.
Sasa kwanini mnatusumbua jua likiwa tayari limezama?? Shida ni nini?? Kwani wale wajanja wavaa raba, jinsi na t-shirts kali mliokuwa mnawapapatikia, kipi kimewatokeeni??
Leo hii wavaa vitenge ndio wamekuwa retirement plan baada ya kufanya um@laya wenu na K kuchakaa, eti??
Hayo magonjwa mliyoyaokota huko, mimi niyapeleke wapi??
Sisi mlituona hatuna swagger za watoto wa mjini.
Sisi mlituona tupo kama wazee wa kale.
Sisi mlituona tupo kama walimu wa vijijini.
Sasa kwanini mnatusumbua jua likiwa tayari limezama?? Shida ni nini?? Kwani wale wajanja wavaa raba, jinsi na t-shirts kali mliokuwa mnawapapatikia, kipi kimewatokeeni??
Leo hii wavaa vitenge ndio wamekuwa retirement plan baada ya kufanya um@laya wenu na K kuchakaa, eti??
Hayo magonjwa mliyoyaokota huko, mimi niyapeleke wapi??