Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Unaweza kupunguza sauti ndugu?Wakati mpo wabichi wa miaka 19 mpaka 24, Sisi mlituona washamba.
Sisi mlituona hatuna swagger za watoto wa mjini.
Sisi mlituona tupo kama wazee wa kale.
Sisi mlituona tupo kama walimu wa vijijini.
Sasa kwanini mnatusumbua jua likiwa tayari limezama?? Shida ni nini?? Kwani wale wajanja wavaa raba, jinsi na t-shirts kali mliokuwa mnawapapatikia, kipi kimewatokeeni??
Leo hii wavaa vitenge ndio wamekuwa retirement plan baada ya kufanya um@laya wenu na K kuchakaa, eti??
Hayo magonjwa mliyoyaokota huko, mimi niyapeleke wapi??
Madam mbona umefunga pm?Soko nani alikuwambia nilikuwaga sokoni acha bangi wewe kitela . Ngozi kama kenge wa musoma.
Mshangazi huyo yupo single at 39 full kudataMadam mbona umefunga pm?
Nifunge kisaa naniMadam mbona umefunga pm?
πΉπΉπΉusharetire
Acha wivuMshangazi huyo yupo single at 39 full kudata
Kama baadhi yenu nyie walivyozurula weee sasa hivi wanataka kuwaletea matatizo yenu vijana wa watu?Mnahela gani mmechoka maisha
Mkuu ni kwamba hili swali lako sijalielewa ama vipi? πNa kwanini uoe au kukaa na mwanamke mwenye 30+
Hivi Mtani wangu hii ngoma unayoisemaga ni kweli hivi? π€Hapa ndio napopenda mie, wanawake ujanja wote mwisho 28.
Akishagusa 29 anaanza kupanjc. Yupo mmoja hapa ni 29 anajua nina ngoma lakini anasema wee mzabzab nioe tuu
Hahahaa. Lol.Jiingize kichwakichwa ukute hivyo vitenge/vikwembe vyote kakopea kwenye vicoba.
Hahahaa. Rafiki hao wa hivyo wengi kiuhalisia unakuta ndo wahongaji wakubwa.Dahπππ
π€£π€£π€£25 yrs
Demu anakupa marks za performance yakoπ
Rafiki umeamua ucheke tu hutaki kutia neno. Lolhahahaha, hahahaha,π€£π€£π€£
Wa aina hii baadhi yao wanapatikana hata humu pia Mkuu yaani wanachokiandika na uhalisia hata haviendani.Kuna mdogo wangu anapondea sana wanawake kuja kumchunguza vizuri kumbe kuna mwanamke mmoja kamteka na anampelekesha vibaya sana, dogo alikua na duka la vifaa vya ujenzi limejaa, kalihonga mpaka limebaki kama mbavu za mbwa.
Ila ukimkuta kwenye vijiwe vya kahawa anavyopondea wanawake hautaamini ukijua maisha yake.
In 50cent voice. π€£π€£π€£Kweli wee i will take u to the candy shop make u lick that lolipop ooohhh