Wanawake mliofika 30+ acheni kutusumbua sisi washamba tunaovaa mashati ya vitenge na suruali za vitambaa

Wanawake mliofika 30+ acheni kutusumbua sisi washamba tunaovaa mashati ya vitenge na suruali za vitambaa

You have seen right through me. Mkuu hili kwangu ni jeraha kaka sikulitegemea na honestly sina experience ya ku navigate through. Sijajua bado nitapona vipi na nitatoka vipi ili nirud kawaida kihisia. Kaniacha sikua nategemea na kiukwel najitahid sana kumsahau ila najua haiwez kuwa rahis, for real nahitaji msaada kuhusu hili. Namuwaza yeye nawawaza watoto wangu aliowachukua, japo sasa ni 35 days toka niamue kujikaza kutompigia simu wala kumtumia sms, ila honestly, nateketea inside.😢😭😭😭😭😭
Japo naamini nitazoea ila sijui itakua lini
Mkuu endelea kukaza, mpe muda atakuja kujirudi tu huyo, ukimtafuta kwa sasa utapoteza zaidi.
 
Ni kweli, na kuna mpenyo flan ninaouna kwenye mishe zangu toka aondoke, ni kama kanifungulia njia na mambo yanaanza kwenda kasi ila bado mke ni mke kaka, imagine mmezaa na mko 15 yrs kwenye ndoa, haiwez kuwa rahis ku cope na hali ,ni ngumu mnoo. But najitahid
Anguko la mwanamme huletwa na mwanamke, maisha unayopitia wewe mimi nmeshayashuhudia sana.

Jaribu kuupa muda nafasi, muda utahukumu wenyewe kila kitu.
 
granitized .
Nataka ufahamu jambo.
Kama mtu ana 34 au 40 haruhusiwi wafuatao .
25 to 31 anajiabisha .
Mtu mwenye 34 mpaka 40 atafute mume wa 39 to 55 ndio heshima sasa wale wadogo wataendaje kuishi na wabibi wakafe mapema haijalishi kama sio single mother au ni single mother
huyu niliyemwelezea akiwa 24 alipata mtu ako na 36 alifiwa na mke ana two kids, mpaka mahari akamlipia, ila akamtenda akaenda kwa mlamba lips same age akammimba na kutokomea kusikojulikana, ndo yanayomkuta kwa sasa, hata hajifunzi.
 
Mi mwendo wa kitenge na mabatiki mpk baaasi!! Mpk siti za gari ni macover ya kitenge Tu, suruali yangu kubwa hv napandisha tumboni kidogo chini kiatu changu mkuki moyoni!

Hawa wamama 30+ mpk wanabubujikwa na michozi 😁😁😁
 
huyu niliyemwelezea akiwa 24 alipata mtu ako na 36 alifiwa na mke ana two kids, mpaka mahari akamlipia, ila akamtenda akaenda kwa mlamba lips same age akammimba na kutokomea kusikojulikana, ndo yanayomkuta kwa sasa, hata hajifunzi.
sasa 36 alikuwa hajui mamboo walamba lipsi wakikuongelesha unasikia hamu ya mapenzi licha akuombee unaachia tu hadi mimba yule alikuwa na kibamia na hajulii kukitumia mwanamke akaona mlamba lipsi nafuu kunyweni dawa za asili muwe madume acheni kujilegezea ikute hana hata hela mlamba mdomo alikuwa anamtoa out .

Mlamba lipsi atarudi tu kulelea mwanae ameenda kudanga apate pesa
 
Wasamehe Mkuu, watu hujifunza kutokana na makosa wape self golden chance ili uwaondolee sonona
Uwaondolee sonona na vioungo vya uzazi vimechakaa kutokana na abortions zisizo na idadi, kuliwa MIXX BY Yas, Kunyonya sana mb.oo.

Yaaani full uchakavu..
 
Uwaondolee sonona na vioungo vya uzazi vimechakaa kutokana na abortions zisizo na idadi, kuliwa MIXX BY Yas, Kunyonya sana mb.oo.

Yaaani full uchakavu..
Time heals wound. Watakuwa wamepata fundisho kuwa haya maisha hayataki kujiachia kuna kuumia. Wasamehe na wafariji ikiwezekana washauri watoke sehemu iliyozoeleka waende sehemu nyingine na wakatulie huenda huko watapata wenza.

Cc: Madam Hannah
 
Ms Aaliyyah. Mungu anakuona 🤣🤣🤣

Mimi namtuliza hasira kijana Mangi hapa na wewe una react kwa kunicheka? 🤣🤣🤣
 
Achana nao mkuu kama wanakupapatikia halafu unaona washaenda sana mileage washauri watoke walipo waende sehemu nyingine wakatulie huenda wakapata wenzi wapya
Sawa mkuu ila wakiwa 18-24 wana nyodo hao balaa. Sisi wavaa mashati ya vitenge kwa kweli tunanyanyasika sana..
 
Hapa ndio napopenda mie, wanawake ujanja wote mwisho 28.
Akishagusa 29 anaanza kupanjc. Yupo mmoja hapa ni 29 anajua nina ngoma lakini anasema wee mzabzab nioe tuu
IMG_3074.jpeg
 
Back
Top Bottom