Wanawake mliofika 30+ acheni kutusumbua sisi washamba tunaovaa mashati ya vitenge na suruali za vitambaa

Wanawake mliofika 30+ acheni kutusumbua sisi washamba tunaovaa mashati ya vitenge na suruali za vitambaa

Kwanza mimi nawapenda WANAUME WASHAMBA wanaovaa mashati ya vitenge kwa kweliii kule ndani wamejaliwa MIHOGO ILIYONONA na wanajua kugawa dozi haswaaa!

Leo hii nimefikisha umri wa miaka 60 lakini napelekewa moto wa ajabu mpaka najihisi binti wa miaka 16.... yaani kiufupi nimekuwa BIBI WA HOVYO kwa jinsi ninavyozabuliwa mbunye kisawasawa!

Mafao yangu yote ya kustaafu anakula yeye!

Wasukuma mbarikiwe!

Cc: Mbaga Jr Extrovert Lamomy Half american min -me Poor Brain
😂😂😂😂😂😂😂😂We akili zako mbovu sana
 
Mbona kazini wwnchukuliwa wenye uzoefu Ila kwenye ndoa hamtaki wenye uzoefu😅😅😅😅

Kwenda huko na kitenge chako cha soso cha makambi
 
Mimi Bado sokolangu halijawa gumu sana😂😂 rafikizangu Wana watoto 2 au 3 washaolewa na kuachika wengine washaolewa Tena
Kama target ni ndoa za kusitiriana kusogeza siku basi upo sahihi, ila kama ni ndoa zenye afya na zenye futuristic plans bado ni zoezi gumu.

Mtu anayoea mwanamke mwenye mtoto au watoto zaidi ya mmoja namchukulia kama ana tatizo mahali
 
Ila wanaume wakiwa JF wanajifanya wanapondaaa Ila wakija mtaani sasa ni mishangazi full

Ngoja ninyamaze nisiseme sana
 
Back
Top Bottom