Wanawake mliofika 30+ acheni kutusumbua sisi washamba tunaovaa mashati ya vitenge na suruali za vitambaa

Wanawake mliofika 30+ acheni kutusumbua sisi washamba tunaovaa mashati ya vitenge na suruali za vitambaa

Nawachawi wewe kaaa kwakutulia tumelogewa wanaume wasituoe wakaolewa wao wengine hadi sasa ndoa zimewashinda mnalogwa sema hawaambi tu watoto wengi tu sio damu zenu .

Mwanaume mwenye hela haoi mapema maana anachagua wasahihi wanawake ambao hawajaolewa wana jitambua walioolewa wachawi hawajitambui
Gily Gru huyu shangazi amechanganyikiwa asee nimecheka sana
 
Ni kweli, halaf mbona kuna wanawake 40s huko lakin wako poa tu.
Mfano, mi wife kanipiga chini akiwa na 36 yrs na am sure anayemla bado anamfaidi tu maana si kwamba kachoka.
Sio kila mwanamke yuko desparate namna hiyo, kuna wengine wametuacha na si kwamba wana haja sana ya kuolewa
Kwann alikupiga chini!!!!
 
Kuolewa au kuoa ni moja ya achievement kwa binadamu. Kuna sherehe 3 kuu, kuzaliwa, kuoa/kuolewa na kufa.

Mungu akikujalia uhai na uzima basi ni vyema ukaolewa tu. Hayo mambo ya majumba na magari ya kifahari ni mambo ya mapokeo tu. Kikubwa wote ukifika mda wa kulala mtalalia godoro na muda wa njaa mtakula chakula vivyo hivyo hata kwenda kujisaidia pia. Kila mtu haja yake hutokea makalioni.😄

Hizi mbwembwe zingine za dunia zisikutoe kwenye focus. Gari ni lile lile, hata likiwa Maybach au IST wote mtapanda na litawafikisha mnapoenda. Nyumba ni zile zile tu, zitapangwa tofali na mbao na mabati. Atakayejenga ya million 300 na ya million 70 wote hawatanyeshewa na mvua. Wataangalia Azam tv wao na watoto wao kwenye makochi.

Nothing makes a difference in life but only death.
Chai unafananisha maybach na aiestii!!
 
Wewe tamka ujinga tu malaya nimama yako na ndugu zako naumalaya haujaanza juzi unikome . Hunipi pumzi,hunilishi, kwandoa gani mlionazo kazo kuishi nyumba zakupanga kama yatima . Sura ya nyani kazi kufuatilia mambo ya watu . Shenzi type kazi kulelewa ipo siku namtazalishwa, kwa hadhi gani maskini nyie nivue chupi yangu nawewe upitie, sura kama tanki la maji la muhimbili kabaya katumbo kama mtungi wa gas wataifa . Unapumulia dagaa tu huko tumboni na chai ya rangi eti niwe malaya tanzania labda niwe sina akili nzuri kwanza mnatangazwa na watoto wa elfu mbili kuwa mnanuka matako na maqumbu hamuoshi mnanuka kama mabeberu mnanuka haswa piuuu
Aisee
 
Wakati mpo wabichi wa miaka 19 mpaka 24, Sisi mlituona washamba.

Sisi mlituona hatuna swagger za watoto wa mjini.

Sisi mlituona tupo kama wazee wa kale.

Sisi mlituona tupo kama walimu wa vijijini.

Sasa kwanini mnatusumbua jua likiwa tayari limezama?? Shida ni nini?? Kwani wale wajanja wavaa raba, jinsi na t-shirts kali mliokuwa mnawapapatikia, kipi kimewatokeeni??

Leo hii wavaa vitenge ndio wamekuwa retirement plan baada ya kufanya um@laya wenu na K kuchakaa, eti??

Hayo magonjwa mliyoyaokota huko, mimi niyapeleke wapi??
Kuna mmoja alipost anasaka mume humu nikamfata inbox ,picha limeanza naulizwa kabila ,baada ya kusema ni ngosha naambiwa sisi wabaguzi,picha kimefuata eti unaelimu gani ?Nikajibu mie Beckham (winga no7). JIBU NILILOPEWA HATUENDANI STATUS YEYE NI MASTERS HOLDER NA MTUMISHI, NIMECHEKA HADI PUMBU ZIKATIKISIKA.
 
Kuna mmoja alipost anasaka mume humu nikamfata inbox ,picha limeanza naulizwa kabila ,baada ya kusema ni ngosha naambiwa sisi wabaguzi,picha kimefuata eti unaelimu gani ?Nikajibu mie Beckham (winga no7). JIBU NILILOPEWA HATUENDANI STATUS YEYE NI MASTERS HOLDER NA MTUMISHI, NIMECHEKA HADI PUMBU ZIKATIKISIKA.
Aisee..
 
Back
Top Bottom