- Thread starter
- #141
Marioo wa Paula amaKaribu unaolewa na "marioo"!Zubazubaa ufurahishwe na kuanza kulea mimtu yenye magego yaliyokomaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marioo wa Paula amaKaribu unaolewa na "marioo"!Zubazubaa ufurahishwe na kuanza kulea mimtu yenye magego yaliyokomaa.
SawaAcha kujiuza
Tufanyaje sasa na ndivyo tulivyoumbwaUnakuta mwanamke yupo mzito sana kwenye mawasiliano kumbe amekuweka backup. Ukimpotezea na ukamsahau ukaendelea na mambo yako unashangaa baada ya mipango yake kufeli miezi 4 ndiyo anakutafuta. Hapo akili wala moyoni hayupo tena na wewe unamuweka backup.
Shida ya wanawake, yule mwenye mipango ya dhati ya kumuoa ndiyo hamtaki anamtaka yule ambaye hana mipango naye kwasababu tu amekidhi vigezo vyake ila jamaa hana mpango naye
Shida ya wanawake wanatumia hisia sana kwenye mapenzi kuliko akili ndiyo wanajikuta wapo kwenye mikono isiyo sahihi
Noma hiyo🤣🤣 Ni hatari aseee mtu anakukera ila kulala na chupi marufuku bado , upike , ufue kitanda umtandikie bado uigize kwenye jamii kwamba unampenda na kumuheshimu mumeo !
Napata ushawishi tu mkuuBasi hujawa tayari , ni kitu ambacho unakitaka for funny tu 🤣 ikiwa uhitaji wako kweli hadi kufunga utafunga na Novena zote utasali !!
Kwa sasa ndoa sio kipaumbele chako umekua tu motivated kwa sababu wanaokuja wanataka ndoa ! Kama haupo tayari tulia tu jitunze
Ndio nakusikilizaMkuu unalo la kufanya ... Ntakwambia
Nimependa your positive
OohUnaweza hisi wao ndio wanakuchanganya, ila uhalisia ni kwamba wamekukuta tayari umeshachanganyikiwa.
Sitoshangaa ukija kuoelewa na mtu mwingine tofauti kabisa, nje ya hao uliowaweka njia panda na huyo unayedate nae sasa.
Mimi sitafisiri ulicho andika mimi nakuangalia wewe tangu nianze kuona nyuzi zako, napata picja ni mwanamke wa ajabu mnooSoma ukiwa Upo timamu mkuu.. kama umelewa usisome
Sawa ni wewe so Hakuna shida mkuuMimi sitafisiri ulicho andika mimi nakuangalia wewe tangu nianze kuona nyuzi zako, napata picja ni mwanamke wa ajabu mnoo