Wanawake mlioolewa na wale msiowategemea mliwezaje

Wanawake mlioolewa na wale msiowategemea mliwezaje

Hapo kwenye kuomba Mungu ndio napopataka sijui kwanini nashindwa kuomba ni kama siwezi nikijaribu najikuta nacheka like seriously mimi huyo wa kuomba mume sijui what is happening to mimi
Basi hujawa tayari , ni kitu ambacho unakitaka for funny tu 🤣 ikiwa uhitaji wako kweli hadi kufunga utafunga na Novena zote utasali !!

Kwa sasa ndoa sio kipaumbele chako umekua tu motivated kwa sababu wanaokuja wanataka ndoa ! Kama haupo tayari tulia tu jitunze
 
Ooh sauwaa
Unakuta mwanamke yupo mzito sana kwenye mawasiliano kumbe amekuweka backup. Ukimpotezea na ukamsahau ukaendelea na mambo yako unashangaa baada ya mipango yake kufeli miezi 4 ndiyo anakutafuta. Hapo akili wala moyoni hayupo tena na wewe unamuweka backup.
Shida ya wanawake, yule mwenye mipango ya dhati ya kumuoa ndiyo hamtaki anamtaka yule ambaye hana mipango naye kwasababu tu amekidhi vigezo vyake ila jamaa hana mpango naye
Shida ya wanawake wanatumia hisia sana kwenye mapenzi kuliko akili ndiyo wanajikuta wapo kwenye mikono isiyo sahihi
 
Kama mnavojua kwenye jamii yetu wanawake huoelewa wakiwa tayari na mtu yoyote ambae kwa wakati huo anajitokeza.. mara nyingi wanakuwa ni wale watu ambao tuna waweka pending huku tukiwasikilizia watu wetu tunaowapenda watuoe, jambo linaloshindikana na kuamua kuolewa na yoyote. Sasa na mimi naona kama yanataka kunikuta hayo mambo

Niwe mkweli tu baada ya kuona mahusiano yangu na huyo kijana hayaeleweki nikatafuta backup ambayo now tuna miezi michache tu

Huyo niliekuwa nae naona hanipendi maana leo ni wiki ya pili hajanitafuta na mimi sijamtafuta kiufupi hatuongeleshani.. sasa sijui tumeachana ama la

Sasa huyu nilienae now naona tu tupo normal, japo sijui mengi kuhusu yeye ila angalau najisikia na mimi napendwa tofauti na yule wa mwanzo

Cha kushangaza tangu nipate kazi kuna hali fulani nakutana na watu ambao wanataka kunioa wawili tumejuana miaka hii hii wengine miaka ya nyuma…

Kila kijana anasema anataka kunioa aje nyumbani… hiki kitu kinanichanganya haswa kutoa maamuzi yupi sahihi
Hawataki mahusiano ya dating wanataka kuja home kufanya process

Vijana watatu ni church boy(walokole)wawili ni wa kawaida tu sio watu wa kanisani kihivyo.. hao wote naowataja ni tofauti na huyu ambae na date nae now.. yeye hajawai kunitamkia kuwa anataka kunioa now.. anasema tu tuombe Mungu mapenzi yake yafanyike,, pia tuzidi kufahamiana..

Katika hao wa 5 ambao angalau wana sifa zangu ni wawili tu.. japo sijawaelewa kihivyo,,

Sasa mimi napata kigugumizi sijui ndio milango kufunguka au majaribu tu
Hakuna niliempa jibu la ndio au hapana.. ni kama nimewaweka njiapanda..

Ninae date nae now sio kwamba nampenda kihivyo ni vile tu yule wa mwanzo hanizingatii nikaamua kumkubali huyu,, japokuwa huyu hata akisema ananioa nitakubali maana ana vigezo vyote vya kuwa mume

Sasa hapa nilitaka muongozo haswa kwa wanawake wenzangu, mliweza vipi kucheza na hii hali mpka ukaolewa.. maana kuna muda nawaza nijilipue tu lakini naogopa what if nikaingia huko kumbe nimekurupuka..
mimi dada enu age go kidogo 28-25 umri wangu una range hapo
Acha kujiuza
 
😂😂😂

Mwanamke wewe tulia na uliza kichwa.. Utadumbukia pabaya ni kama unataka iweje wee mwenyewe.. Mwili wako usije onyesha kila mtu kisa huyo eti wiki mbili tu..

Ya backup wanaume wengi humu lazima umewaweza... 🤣🤣🤣🤣 Sasa nae unaona hafai... Tulia tulia kaa mbali na wanaume kwa muda uji tafakari.. Maumivu ya huyo aliye nyama za yakutoke kwanza.

Hujafika kwenye ndoa.. Tayari unataka ndoa na upo hivyo!!!!! .. Tulia

Mtu hauna uhusiano nae anataka kukupa, embu tuambie unawaambia nini naona kama upo kidesperado aka kicheche unawaonyesha Tamara ya kutolewa ila haufunguki huku kiuwekli.

Tulia bana miguu kwa sasa.. Ukisali mwema akujie utajua tu na utaolewa.
Bibi shkamoo
 
Kama mnavojua kwenye jamii yetu wanawake huoelewa wakiwa tayari na mtu yoyote ambae kwa wakati huo anajitokeza.. mara nyingi wanakuwa ni wale watu ambao tuna waweka pending huku tukiwasikilizia watu wetu tunaowapenda watuoe, jambo linaloshindikana na kuamua kuolewa na yoyote. Sasa na mimi naona kama yanataka kunikuta hayo mambo

Niwe mkweli tu baada ya kuona mahusiano yangu na huyo kijana hayaeleweki nikatafuta backup ambayo now tuna miezi michache tu

Huyo niliekuwa nae naona hanipendi maana leo ni wiki ya pili hajanitafuta na mimi sijamtafuta kiufupi hatuongeleshani.. sasa sijui tumeachana ama la

Sasa huyu nilienae now naona tu tupo normal, japo sijui mengi kuhusu yeye ila angalau najisikia na mimi napendwa tofauti na yule wa mwanzo

Cha kushangaza tangu nipate kazi kuna hali fulani nakutana na watu ambao wanataka kunioa wawili tumejuana miaka hii hii wengine miaka ya nyuma…

Kila kijana anasema anataka kunioa aje nyumbani… hiki kitu kinanichanganya haswa kutoa maamuzi yupi sahihi
Hawataki mahusiano ya dating wanataka kuja home kufanya process

Vijana watatu ni church boy(walokole)wawili ni wa kawaida tu sio watu wa kanisani kihivyo.. hao wote naowataja ni tofauti na huyu ambae na date nae now.. yeye hajawai kunitamkia kuwa anataka kunioa now.. anasema tu tuombe Mungu mapenzi yake yafanyike,, pia tuzidi kufahamiana..

Katika hao wa 5 ambao angalau wana sifa zangu ni wawili tu.. japo sijawaelewa kihivyo,,

Sasa mimi napata kigugumizi sijui ndio milango kufunguka au majaribu tu
Hakuna niliempa jibu la ndio au hapana.. ni kama nimewaweka njiapanda..

Ninae date nae now sio kwamba nampenda kihivyo ni vile tu yule wa mwanzo hanizingatii nikaamua kumkubali huyu,, japokuwa huyu hata akisema ananioa nitakubali maana ana vigezo vyote vya kuwa mume

Sasa hapa nilitaka muongozo haswa kwa wanawake wenzangu, mliweza vipi kucheza na hii hali mpka ukaolewa.. maana kuna muda nawaza nijilipue tu lakini naogopa what if nikaingia huko kumbe nimekurupuka..
mimi dada enu age go kidogo 28-25 umri wangu una range hapo
Karibu unaolewa na "marioo"!Zubazubaa ufurahishwe na kuanza kulea mimtu yenye magego yaliyokomaa.
 
Katika hao wa 5 ambao angalau wana sifa zangu ni wawili tu.. japo sijawaelewa kihivyo,,

Sasa mimi napata kigugumizi sijui ndio milango kufunguka au majaribu tu
Hakuna niliempa jibu la ndio au hapana.. ni kama nimewaweka njiapanda..
5 Suitors One Husband.
 
Bora huyo unaempenda na tayari ushamjua mpk kutiana kwamba anakunyoosha vzr!
pia kwa kuwa unampenda hata kama itatokea ana mapungufu ni rahisi kumvumilia coz yuko moyoni mwako!

Imagine mtu humpendi alafu kwenye ndoa unakuta anamapungufu! Hata km ni madogo utaona ni makubwa nayakukera mnoo, dakika unazeeka sura mpk na Moyo!

Kwanza hao wengine unao waita boy waokukimbilia kujitambulisha home badala ya kuomba tamuu kwanza,ni wanaume gani!
wachunguze vzr usikute hata hawadindi, wanatumia kujitambulisha km mwamvuli😂😂

Nimemshauri mto uzi!! Sitaki kimbelembele kwa ambaye si mtoa uzi 🙏🙏
 
Sema anaonekana mwenyewe bado hajui anataka nini na kuolewa bado anataka,.
Wanawake tuna kazi sana walahi
Ww hujamwelewa mtoa mada, mtoa mada anataka kuolewa, ila hao wanaume 5 wote wanaotaka kumuoa, hampendi mwanaume hata mmoja kati ya hao 5, mwanaume anaependwa na kadogo2 haeleweki na hapendeki Leejay49
 
Kawaida wanawake huwa hawaolewi na waliowategemea, kwa sababu ya nature, aliyetakiwa kupenda ni mwanaume na sio mwanamke
Siku hizi wanawake wanatafuta wanaume wa kuwaoa Ndio mana hakuna ndoa ni mavurugu tu. Mwanamke by nature anapaswa afuatwe kuposwa kupitia Kwa wazazi wake tena atwaliwe kutoka Katika hema ya baba yake! Siku hizi na wao wanatafuta Mume na vigezo wameweka ambavyo wao hata robo hawana! Hii ni Asili ambayo imekiukwa
 
Mwanamke kuwa na mahusiano na zaidi ya mwanaume mmoja huo ni UMALAYA uliokubuhu.
 
Siku hizi wanawake wanatafuta wanaume wa kuwaoa Ndio mana hakuna ndoa ni mavurugu tu. Mwanamke by nature anapaswa afuatwe kuposwa kupitia Kwa wazazi wake tena atwaliwe kutoka Katika hema ya baba yake! Siku hizi na wao wanatafuta Mume na vigezo wameweka ambavyo wao hata robo hawana! Hii ni Asili ambayo imekiukwa
Wachache sana wanajua hekima hiyo, eti mwanamke anaweka vigezo vya nani amuoe, huwa wanatumia akili kweli, yaani ni sawa na wewe unaomba kazi, lakin kwenye cv umeweka vigezo, kwamba kazi natakiwa nifanye mjini tu, mshahara usioungue milion moja, halafu ukajiita mtafuta kazi hakuna HR atakusumbua kukuita hata kwenye usaili.

Anayeoa ni mwanaume, cha kushangaza eti anayeweka vigezo vya mtu wa kuolewa naye ni yule anayeolewa, ushasikia wapi ukapata mtu
 
Back
Top Bottom