Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
Mmh wewe!wanawake hawana mdhamana, yeyote anagonga tu, awe EX au yeyote anayemjia kwa gia ya kul amzigo, atakula tu
ndio....Mmh wewe!
Huyu ndo mke wa kumpa ATM card ,endelea hivyo hivyo u worth a billion dollarAiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.
We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
Nimekupenda bure[emoji87]Aiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.
We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
Wewe je waeza ama huwezi? Apply that ans to your question!Hapa sizungumzii ma ex ambao mliachana kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wenu kama mmoja kwenda nje kimasomo, kuhamishwa kikazi, kufungwa jela. n..k
Wanawake mlioolewa, je ex wako ambae hamkukosana bali mliachana kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wenu ukikutana nae leo una ujasiri wa kukataa kuchepuka nae?
.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
Inategemea na uwezo wake wa kulisakata kabumbu. Pia ni lady finger au cucumber!!!!!?
Wanne mkuu!una swali jingine!??Aise Kwa haraka haraka wapo kumi na ngapi?
AsanteNimekupenda bure[emoji87]
Sema tu ili wajifunze kupitia kwakoAisee nikisema watasema unasema hivyo kwa kuwa hujaolewa
Mwalimu wewe ni yupi kati ya hao kwenye hiyo avatar yako?
Kama ni huyo mwenye miwani nije PM tupige selfie nyingine!!