Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapwenti ya wenye waume JF haya...
Ukimaliza utoe msimamo wako tunausubiri
Unataka MUMEWE aje asome majibu kwamba atagegedwa bila wasiwasi..?Ukimaliza utoe msimamo wako tunausubiri
Yeah.... Na kuwatag juu ili kujustify UTAKATIFU
Jidanganye mkuuHuyu ndo mke wa kumpa ATM card ,endelea hivyo hivyo u worth a billion dollar
Wanne mkuu!una swali jingine!??
Mmmmmh! inaonyesha umeshapitiwa na Mabehewa mengi sana si moja huyo atakayekuowa atakuwa kaowa Cha wote "Nothing new" huna jipya 😝😝😝Aiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.
We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
Mimi hilo shepu lako tu... kama ndo ww kwenye hiyo avatar basi salutii, una unoo kama lotee
Itakuwa ngumu kwa ex wangu yule 😜
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi ning'ekukula tuAiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.
We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
Binadamu yoyote yule ni balaa.Lakini inawezekana ukiondoa hiyo ngumu, wanawake nyie ni balaa sana.
Aiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.
We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
Mke unaogopa maoni ya watu??Aisee nikisema watasema unasema hivyo kwa kuwa hujaolewa
Binadamu yoyote yule ni balaa.
Sasa na wewe mimi kila siku naomba nikuoe mbona hueleweki mama?[emoji25][emoji25]Aisee nikisema watasema unasema hivyo kwa kuwa hujaolewa