Wanawake mlioolewa una ujasiri wa kukataa kuchepuka na ex wako?

Wanawake mlioolewa una ujasiri wa kukataa kuchepuka na ex wako?

Yani nimeolewa alhamdulillah nikachepuke na mtu ambae hakuona thamani yangu akaniweka ndani kwa kipi?

Mimi ukishakua ex haijalishi tumeachana vipi kwa wema kwa uzur tayar nimeshajenga ukuta wewe huko mie huku

Sasa nna mume ndani nichepuke kisa nn?? Ni heri nimwambie ukweli ni mume wangu bana leo sjafrahia ni heri niwe wazi kwake ni halali yangu kuliko kwenda kujdhalilisha nje

Siwezi kuchepuka sio na ex tu na yeyote yule mbali na husband.
Nyie hamzaminik unaweza ukaongea hv hap tukuone mwema kwa vile hatukujui
 
Yani nimeolewa alhamdulillah nikachepuke na mtu ambae hakuona thamani yangu akaniweka ndani kwa kipi?
Mimi ukishakua ex haijalishi tumeachana vipi kwa wema kwa uzur tayar nimeshajenga ukuta wewe huko mie huku
Sasa nna mume ndani nichepuke kisa nn?? Ni heri nimwambie ukweli ni mume wangu bana leo sjafrahia ni heri niwe wazi kwake ni halali yangu kuliko kwenda kujdhalilisha nje
Siwezi kuchepuka sio na ex tu na yeyote yule mbali na husband.
Hongera sana. Wewe ni miongoni mwa wanawake wanaojiheshimu na kujitambua. Mumeo kapata mke haswaa
 
Aiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.

We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
Ninyi ndio mnaliwaga kirahisi hadi hasira.
 
Aiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.

We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
Utakuwaa fundi eeeh
 
Sio kila unachosikia au kuandikwa ni kweli akili ya kuambiwa tu fanyia kazi utapata matokeo
Siyo wote wazinzi kama unavyofikiri. Kuna watu wanajitambua na wanajua thamani zao. Kama wewe unachepuka na ex wako haimanishi ni wote wanachepuka. Kupasha kiporo na ex wako inamaanisha kuwa "Hauna lolote kwenye dunia ya mapenzi yaani wewe ni takataka"
 
Hapa sizungumzii ma ex ambao mliachana kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wenu kama mmoja kwenda nje kimasomo, kuhamishwa kikazi, kufungwa jela. n..k

Wanawake mlioolewa, je ex wako ambae hamkukosana bali mliachana kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wenu ukikutana nae leo una ujasiri wa kukataa kuchepuka nae?
Wanawake wapuuzi ndo uwa wanalala na x zao..mi siwez na sipendag mawasiliano yaendelee kati yangu na x so tukiachana ni kama hatujuani sitak ata niilone status zako.
 
Ninyi ndio mnaliwaga kirahisi hadi hasira.
Hahahahahahahaaaaaaa jipe moyo,sijawai kucross na ex eye to eye,Kuna watu tuna pride n ego za kingese mpk Kuna saa ss wnyw tunazichukia,Mana znatunyima fursa.
 
Aiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.

We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.

Hyo ndio maneno yenu, lakini kiuhalisia ..........
 
Hapa sizungumzii ma ex ambao mliachana kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wenu kama mmoja kwenda nje kimasomo, kuhamishwa kikazi, kufungwa jela. n..k

Wanawake mlioolewa, je ex wako ambae hamkukosana bali mliachana kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wenu ukikutana nae leo una ujasiri wa kukataa kuchepuka nae?
Hahaha
 
Back
Top Bottom