Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Ngoja nipite zangu hainihusu hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha!Hahahaha!!!!
Kama ni hivo unastahili pongezi.
Wenzio huwa wanatoa, kushikilia mahusiano.
Kwakutojua ukweli kuhusu wanaume kwenye hilo tendo.
Simkumbuki hata sura wala Sauti .Delete highlights and trashHapa sizungumzii ma ex ambao mliachana kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wenu kama mmoja kwenda nje kimasomo, kuhamishwa kikazi, kufungwa jela. n..k
Wanawake mlioolewa, je ex wako ambae hamkukosana bali mliachana kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wenu ukikutana nae leo una ujasiri wa kukataa kuchepuka nae?
Come to me.Hahahaha!
Ndo nilishaachwa ivo,iliuma hatari
Morning beibe
Hahaha!Come to me.
I promise I will not demand that.
Wa ndani ndio huwa nawaona wanatapika halafu wanakula au wanakula matapishi ya watu.
Kurudia matapishi ni uchafu.
Mimi I’m like that ,ninasahau completely na sikimbuki hata kidogo .Its over imAiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.
We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
Kucheka muhimu.Hahaha!
Sitaki kucheka mm.
Nje ndo kutiwa wapi sasa
Kwan unafikiri unatangaziwa kuwa twende tukapashe kiporo? Yaani kirafiki tu mnasalimiana mwisho unajikuta umeliwa tayari sema tu hawajaamua bhana, namna pekee yakwepa nikukaa nao mbali tu hata mawasiliano hayatakiwi, yaani mkikutana muwe strangers tofauti na hapo utaliwa haseAiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.
We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
Yaaaan kuna watu et hawaamini km tunasahau n we don't gv a damn s***t.Mimi I’m like that ,ninasahau completely na sikimbuki hata kidogo .Its over im
Done have a nice day byeee.
Mmh basi makubwa!Salam then unaliwa.mi sijawai ata onana nao.na hata ikitokea nikaonana nao there won't be any kitu itaendelea.sijui km umenielewa niliposema ata wao hawawezi thubutu kuzungumzia huo upupu wa kupasha kiporo.coz they Kno mi vere welleKwan unafikiri unatangaziwa kuwa twende tukapashe kiporo? Yaani kirafiki tu mnasalimiana mwisho unajikuta umeliwa tayari sema tu hawajaamua bhana, namna pekee yakwepa nikukaa nao mbali tu hata mawasiliano hayatakiwi, yaani mkikutana muwe strangers tofauti na hapo utaliwa hase
Wapo waliokuwa kama ww leo hii wamesahau waume zao wameenda kwa ma ex, ok bhanaMmh basi makubwa!Salam then unaliwa.mi sijawai ata onana nao.na hata ikitokea nikaonana nao there won't be any kitu itaendelea.sijui km umenielewa niliposema ata wao hawawezi thubutu kuzungumzia huo upupu wa kupasha kiporo.coz they Kno mi vere welle
wanawake wenye kuhifadhi tupu zao kwa ajili ya waume zao tu watapata ujira mkubwa yawumul hisabu so hongera kwa hilo madam s
mwenyezi mungu akujaalie mwisho mwema biidhinillahShukran sana nfugu yangu
Wajua hakuna kinachoshindikana chini ya jua kama tukiamua kukifanya kwa nia thabiti
Yani nimeolewa alhamdulillah nikachepuke na mtu ambae hakuona thamani yangu akaniweka ndani kwa kipi?
Mimi ukishakua ex haijalishi tumeachana vipi kwa wema kwa uzur tayar nimeshajenga ukuta wewe huko mie huku
Sasa nna mume ndani nichepuke kisa nn?? Ni heri nimwambie ukweli ni mume wangu bana leo sjafrahia ni heri niwe wazi kwake ni halali yangu kuliko kwenda kujdhalilisha nje
Siwezi kuchepuka sio na ex tu na yeyote yule mbali na husband.
mwenyezi mungu akujaalie mwisho mwema biidhinillah
Sijambo dearHujambo mpenzi?