Tembosa
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,487
- 3,978
nimekusoma mamlai...Naandika nikimaanisha babalai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimekusoma mamlai...Naandika nikimaanisha babalai
nimekusoma mamlai...
wako shuleH
Hawajambo wajukuu zangu[emoji848]
Wanne mkuu!una swali jingine!??
Utakuwa mkorofi Wewe,Aiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.
We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
Hapa sizungumzii ma ex ambao mliachana kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wenu kama mmoja kwenda nje kimasomo, kuhamishwa kikazi, kufungwa jela. n..k
Wanawake mlioolewa, je ex wako ambae hamkukosana bali mliachana kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wenu ukikutana nae leo una ujasiri wa kukataa kuchepuka nae?
Wanawake wabaya sie smtime jaman.....ila si wote.pole sana kaka ang
Ina mna familia teyari kwann usimsamehe mwenzio,mkakaa chini mkayajenga.
Hujambo mpenzi?Msalimie shemeji
Wa ndani ndio huwa nawaona wanatapika halafu wanakula au wanakula matapishi ya watu.Mbwa mwitu au wa ndani?
Hahaha mm sio mkorofi haki vile.dini ndo tatizo.....najiondokeaga mwnyw japo naaga kiungwana.ila ile ya mwsho niliachwa kwasababu niligoma kutoa uchi hahaha.Utakuwa mkorofi Wewe,
Huwa unaachwa kwasababu gani?
Daaaah sitojaribu.pole sanaaaPagumu hapo, ngoja nitafute mfano, hii kumbukumbu ni sawa sawa na binti aliye na miaka 10 abakwe ukitegemea atasahau, wanawake laiti wangalijua ugumu wa hili swala wasingecheza, ukiwa na mume siku moja usijarib
Hahahaha!!!!Hahaha mm sio mkorofi haki vile.dini ndo tatizo.....najiondokeaga mwnyw japo naaga kiungwana.ila ile ya mwsho niliachwa kwasababu niligoma kutoa uchi hahaha.
wanawake wenye kuhifadhi tupu zao kwa ajili ya waume zao tu watapata ujira mkubwa yawumul hisabu so hongera kwa hilo madam sYani nimeolewa alhamdulillah nikachepuke na mtu ambae hakuona thamani yangu akaniweka ndani kwa kipi?
Mimi ukishakua ex haijalishi tumeachana vipi kwa wema kwa uzur tayar nimeshajenga ukuta wewe huko mie huku
Sasa nna mume ndani nichepuke kisa nn?? Ni heri nimwambie ukweli ni mume wangu bana leo sjafrahia ni heri niwe wazi kwake ni halali yangu kuliko kwenda kujdhalilisha nje
Siwezi kuchepuka sio na ex tu na yeyote yule mbali na husband.
Morning beibeAisee
Njoo pmNioe jamani naanzaje kukataa ofa kama hiyo wakati ndio maombi yangu?
We niambie nije wapi nitafute shela kabisaNjoo pm
Na wewe je unasubiri uzeeke ndio uoe?Unangoja uzeeke ndio Uolewe?
hata mimi sijaoa lakini.
Wanaume hawazeeki.Na wewe je unasubiri uzeeke ndio uoe?
SawaWanaume hawazeeki.
[emoji813] [emoji177]Sawa