Wanawake mlioolewa una ujasiri wa kukataa kuchepuka na ex wako?

Wanawake mlioolewa una ujasiri wa kukataa kuchepuka na ex wako?

Huyu
Ipo lakini ktk vitu siamini hata chembe ni ndoa au mahusiano yazaliwayo kutoka kwny mitandao ya kijamii.
Huyu yuko serious todito oa kisha muonyeshee true love ili aamini mapenzi huanzia popote huyu kweli anataka ndoa
 
Aiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.

We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
Kama hujaolewa, unawezaje kufahamu utamu wa kupasha kiporo ?
 
Mimi.bahat mbaya huwa sikutan na mtu level ya ex..huwa nakutana na level ya juu..so naonaga km nawangalizia kwenye balcony ya 5th floor vile ...haka ka ex kangu kamejenga kajumba ka vyumba 2 chalinze..naskia nyumba km shule ya msingi😂😂😂😂..Mungu nisamehe...alafu namrudiaje ss mm km huyo😂😂😂...pyeee...!mwingine alipigwa na risasi bas kuutwa kuomba michango atibiwe..Mungu nisamehe
Mhhh!
 
Kama hujaolewa, unawezaje kufahamu utamu wa kupasha kiporo ?
Aaaah ivi kupasha kiporo mpk uwe umeolewa eeeh!??af kumbe utam wa kupasha kiporo ukiwa umeolewa na hujaolewa unatofautiana???
Hongera bana uko vizuri
 
Back
Top Bottom