scalethat
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 1,063
- 1,898
Oooh ok,hop utampata ambaye hayarejei matapishi yakeTo me that is the key
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oooh ok,hop utampata ambaye hayarejei matapishi yakeTo me that is the key
Huyu yuko serious todito oa kisha muonyeshee true love ili aamini mapenzi huanzia popote huyu kweli anataka ndoaIpo lakini ktk vitu siamini hata chembe ni ndoa au mahusiano yazaliwayo kutoka kwny mitandao ya kijamii.
Oooh ok,hop utampata ambaye hayarejei matapishi yake
Daaaah pole sana.Mi nkajua bado kumbe inaenda ukingoni.We acha tu, ndoa yangu inakata huwezi amini, mambo magumu sana haya...
Daaaah pole sana.Mi nkajua bado kumbe inaenda ukingoni.
Kama hujaolewa, unawezaje kufahamu utamu wa kupasha kiporo ?Aiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.
We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
Mhhh!Mimi.bahat mbaya huwa sikutan na mtu level ya ex..huwa nakutana na level ya juu..so naonaga km nawangalizia kwenye balcony ya 5th floor vile ...haka ka ex kangu kamejenga kajumba ka vyumba 2 chalinze..naskia nyumba km shule ya msingi😂😂😂😂..Mungu nisamehe...alafu namrudiaje ss mm km huyo😂😂😂...pyeee...!mwingine alipigwa na risasi bas kuutwa kuomba michango atibiwe..Mungu nisamehe
Uwiiiii jamn 7 yrs mnataka kuachana ya nn sasa!?hakna ktu nachukia km kusikia watu wanataka kutengana.Nina ndoa ya 7 years
Aaaah ivi kupasha kiporo mpk uwe umeolewa eeeh!??af kumbe utam wa kupasha kiporo ukiwa umeolewa na hujaolewa unatofautiana???Kama hujaolewa, unawezaje kufahamu utamu wa kupasha kiporo ?
Uwiiiii jamn 7 yrs mnataka kuachana ya nn sasa!?hakna ktu nachukia km kusikia watu wanataka kutengana.
Wanne mkuu!una swali jingine!??
Unangoja uzeeke ndio Uolewe?Aisee nikisema watasema unasema hivyo kwa kuwa hujaolewa
aih! manengelo...Hahahhaa mm haijawah kuachana bila kisa...!na mara nyingu mm ndo naacha so siwez kbs kumrudia..Ht km aniache yy siwez mrudia ...kwa kipi haswa
Itakuwa ngumu kwa ex wangu yule 😜
Wapenzi wetu wa zamani nao wameoa, wepesi mno Wala hawakatai
kuna x huyo hata akinikuta nnatembelea mkongojo ntachepuka tu kwakweli
AiseeIpo lakini ktk vitu siamini hata chembe ni ndoa au mahusiano yazaliwayo kutoka kwny mitandao ya kijamii.
Katika maex wote sijamuona wa kunifanya nijirudi kwake mpaka nikubali kusex nao tena.......