Wanawake mlioolewa una ujasiri wa kukataa kuchepuka na ex wako?

Wanawake mlioolewa una ujasiri wa kukataa kuchepuka na ex wako?

Aiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.

We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
kwani unao wangapi😳😳😳
 
Aseh ni wanawake wachache sana wenye uelewa na msimamo huu, kwamba, uhusiano ukipita umepita, kurudi nyuma ni kujidharirisha.....
Aiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.

We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
 
Kujishusha..unainekana km umekosaaa...mm ht km ulikuwa mzuri kitandan hapana ...
Yaaani ni fedheha.....imagn ulikuwa main chick alaf unakuja jikuta mchepuko au kipoozeo.wao hawapotezi kitu.

Ukisikia kufa nalo rohoni ndo hili,itabaki tu rohon kuwa jamaa alikua vzuri ktandani basi.
 
kama mtu aliye naye sasa hivi anapwaya sekta mahsusi kwa huyo binti..ni wachache sana wanaweza jizuia.
hasa kama walishazaa pamoja
 
Mwanamke atabaki kuwa mwanamke tu
Aiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.

We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
 
Yani nimeolewa alhamdulillah nikachepuke na mtu ambae hakuona thamani yangu akaniweka ndani kwa kipi?

Mimi ukishakua ex haijalishi tumeachana vipi kwa wema kwa uzur tayar nimeshajenga ukuta wewe huko mie huku

Sasa nna mume ndani nichepuke kisa nn?? Ni heri nimwambie ukweli ni mume wangu bana leo sjafrahia ni heri niwe wazi kwake ni halali yangu kuliko kwenda kujdhalilisha nje

Siwezi kuchepuka sio na ex tu na yeyote yule mbali na husband.
Msalimie shemeji
 
Back
Top Bottom