Wanawake mlioolewa una ujasiri wa kukataa kuchepuka na ex wako?

Wanawake mlioolewa una ujasiri wa kukataa kuchepuka na ex wako?

Duuuh hujawahi kukutana na mgumu, au hujawahi kumpenda m'me kwa dhati ya moyo wako, ila nakutahadhalisha w'me wagumu wapo, mimi ni miongoni mwao!
Sasa ugum unauhusiano gani na kulana while mlishaachana.......apo pa kupenda sasa sijakuelewa bado yaan kwamba ukiwa unampenda mtu n yeye hakupendi lakn akiomba mzigo natoa tu kwasababu moyo wng unamwelewa that's all!!!?

Mana Kama anakupenda back,msingeachana no matter what!

Bro tukotofauti sanaaaa, viumbe km mm wapo.trust me sio maneno matupu
 
Watu wengine tuna roho ndogo sana na zakikatili, kweli wajameni mtu unaanzaje kufunga ndoa na mdada kama wewe tena wewe una kauafadhali wanne tu wenzio unakuta 40 au 60 mpaka amekuwa na radha ya chumvi😛😛

Sasa hivi ni kuwazalisha tu
Hahaha ndo hivyo bro........dunia inaenda Kasi sana.zalisha tu km unapata wa kukuzalia.apart from me bado kuna wanawake wenye kutambua thamani zao na wenye kujitunza,muombe Mungu uwe mwenye bahati ili uweze kulea watoto wako sio kulelewa.na huo ndo uanaume kamili
 
Aiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.

We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.



Upo kama mm..haijawah tokea wala kuwaza kbs .mie nawachukulia km scrapers tu
 
Aiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.

We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
Tupe idadi tafwadhari!
 
Aiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.

We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
Ndio umekuja kutusema huku.
 
kuna x huyo hata akinikuta nnatembelea mkongojo ntachepuka tu kwakweli

haaha mm hyo bahat bado sijaipata...!hapana kwakwel mie nahis atanionaje sijui.nahis ataniona km nimechooookkaaaaa...!Mie ex wangu abafanya kazi Chalinze ..mm nipo mOro na akija ananiambiaga kbs sijawah hata pataga mzuka hata niende msamv kumsalimia..pyee..!ananiboaga akiwa ana hela anampa ofa mdogo wangu wanapiga kilaji..ss ni km hua anampa msg fulan dogo..mm walaaaaa😂😂😋..Kwanza hatuendani kbs mm na yy kwasasa😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏...very local😏😏😏😏
 
Katika maex wote sijamuona wa kunifanya nijirudi kwake mpaka nikubali kusex nao tena.......
 
haaha mm hyo bahat bado sijaipata...!hapana kwakwel mie nahis atanionaje sijui.nahis ataniona km nimechooookkaaaaa...!Mie ex wangu abafanya kazi Chalinze ..mm nipo mOro na akija ananiambiaga kbs sijawah hata pataga mzuka hata niende msamv kumsalimia..pyee..!ananiboaga akiwa ana hela anampa ofa mdogo wangu wanapiga kilaji..ss ni km hua anampa msg fulan dogo..mm walaaaaa[emoji23][emoji23][emoji39]..Kwanza hatuendani kbs mm na yy kwasasa[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]...very local[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
[emoji134][emoji134][emoji134] mane mtu akiwa local ndo anakuwa aje?
 
Back
Top Bottom