Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Haha watu wa hum bhana, utaambiwa unakataa kwenye keyboard
Mke unaogopa maoni ya watu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke unaogopa maoni ya watu??
Nioe jamani naanzaje kukataa ofa kama hiyo wakati ndio maombi yangu?Sasa na wewe mimi kila siku naomba nikuoe mbona hueleweki mama?[emoji25][emoji25]
Wapenzi wetu wa zamani nao wameoa, wepesi mno Wala hawakataiWakike wepesi sana kwa wapenzi wao wazamani
Teh teh..Wewe mtu akiwa ex unadelete kabisa file lake??Haha watu wa hum bhana, utaambiwa unakataa kwenye keyboard
Hata sijui mumeTeh teh..Wewe mtu akiwa ex unadelete kabisa file lake??
Nakusikiliza mkuuHapana sina swali ila nina ombi!!
Nikuombe?
Kwakweli ni mengi......manne sio madogo.Mmmmmh! inaonyesha umeshapitiwa na Mabehewa mengi sana si moja huyo atakayekuowa atakuwa kaowa Cha wote "Nothing new" huna jipya 😝😝😝
Haki ya Mungu siowi mimi
Ipo lakini ktk vitu siamini hata chembe ni ndoa au mahusiano yazaliwayo kutoka kwny mitandao ya kijamii.Nimefurahi nafasi ipo kama bado hujaolewa....
Hahahaha!labda pacha wng sio mm.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi ning'ekukula tu
Scalethat watu tulioko humu ni hao hao wa mtaani. Mitandao ina watu wema na waovu pia kama ilivyo mitaa...Ipo lakini ktk vitu siamini hata chembe ni ndoa au mahusiano yazaliwayo kutoka kwny mitandao ya kijamii.
Duuuh hujawahi kukutana na mgumu, au hujawahi kumpenda m'me kwa dhati ya moyo wako, ila nakutahadhalisha w'me wagumu wapo, mimi ni miongoni mwao!Aiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.
We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
Amini tu hivyo ila kukula unalika tuHahahaha!labda pacha wng sio mm.
Amini tu hivyo
Vyema ukiyafanya uliyoyaandikaYani nimeolewa alhamdulillah nikachepuke na mtu ambae hakuona thamani yangu akaniweka ndani kwa kipi?
Mimi ukishakua ex haijalishi tumeachana vipi kwa wema kwa uzur tayar nimeshajenga ukuta wewe huko mie huku
Sasa nna mume ndani nichepuke kisa nn?? Ni heri nimwambie ukweli ni mume wangu bana leo sjafrahia ni heri niwe wazi kwake ni halali yangu kuliko kwenda kujdhalilisha nje
Siwezi kuchepuka sio na ex tu na yeyote yule mbali na husband.
Sasa hii si itatoboa kizaziAkiikumbuma pipe iliyokua inamsugua vizuri lazima aipeleke ikasuguliweView attachment 1098295
Watu wengine tuna roho ndogo sana na zakikatili, kweli wajameni mtu unaanzaje kufunga ndoa na mdada kama wewe tena wewe una kauafadhali wanne tu wenzio unakuta 40 au 60 mpaka amekuwa na radha ya chumvi😛😛Kwakweli ni mengi......manne sio madogo.
Jipya sina kiukweli wala hata hujakosea.
Usioe.....unataka uoe ili uvumbue nini??? Live ya life dude
Kwa beseni hilo lakoSasa hii si itatoboa kizazi