ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,719
- 14,506
Yawezekana alikuacha kwasababu aliona wewe huna sifa yakua mke wake,akaenda kwa mwingine mwenye sifa yakua mke,siyo kila mwanamke niwakuoa,wengine niwakupitia tu ila unawaachia wengine,kama huyo X alivyomwachia mumeo,ila akikutaka anakuja kukulamba.kuna x huyo hata akinikuta nnatembelea mkongojo ntachepuka tu kwakweli