The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 1,071
- 1,361
kuna bwege mmoja n mfupi kanitapeli ila kila nikifkiria nawaza yule bwege nikimkamata ntamrefusha na ule ufupi kwanza kutapeliwa na mtu mfupi bonge la dharauAisee mimi ni mwanaume ila wanaume wafupi wanaudhii yaani hata ukimuangalia anatia huruma hasa akiwa na kitambi daah..
Sikosoi uumbaji wa Mungu ila mwanaume kuwa mrefu inapendeza bana
Saana aisee pole kwa kutapeliwa mkuukuna bwege mmoja n mfupi kanitapeli ila kila nikifkiria nawaza yule bwege nikimkamata ntamrefusha na ule ufupi kwanza kutapeiwa na mtu mfupi bonge la zarau kmmmke
Kwakua ulijiumba na Mungu ni wako pekee yako basi endelea na uhuru wako, relativity is universal and infiniteAisee mimi ni mwanaume ila wanaume wafupi wanaudhii yaani hata ukimuangalia anatia huruma hasa akiwa na kitambi daah..
Sikosoi uumbaji wa Mungu ila mwanaume kuwa mrefu inapendeza bana
sijatapeliwa siwez kutapeliwa na emolo mSaana aisee pole kwa kutapeliwa mkuu
Ha ha wanawake na pesa daah!Wakiwa na hela mbona warefu tuu,tena tunawaona "majentomeni" kabisaa yani,Yani full package..
Daah hilo jina lako Mungu anajuaWakiwa na hela mbona warefu tuu,tena tunawaona "majentomeni" kabisaa yani,Yani full package..
Wewe ni mwanaume unatamani ama unapenda mwanaume wenzako awe mrefu ili iweje, akupige miti?Aisee mimi ni mwanaume ila wanaume wafupi wanaudhii yaani hata ukimuangalia anatia huruma hasa akiwa na kitambi daah..
Sikosoi uumbaji wa Mungu ila mwanaume kuwa mrefu inapendeza bana
Inawezekana huyo ni Maghayo The Mongolian Savage, pole sana mkuukuna bwege mmoja n mfupi kanitapeli ila kila nikifkiria nawaza yule bwege nikimkamata ntamrefusha na ule ufupi kwanza kutapeiwa na mtu mfupi bonge la zarau kmmmke
Siwezi kuwa mfupi ata iweje mimi ni tall poleKwakua ulijiumba na Mungu ni wako pekee yako basi endelea na uhuru wako, relativity is universal and infinite
Am telling you, na tunawapendaaa...k wani we Sugu moto chini unamuonaje?? EeehHa ha wanawake na pesa daah!
Ha ha hasijatapeliwa siwez kutapeliwa na emolo m
πππ€£ nikimkamata chuma yake namrefushaInawezekana huyo ni Maghayo The Mongolian Savage, pole sana mkuu
Nawaconfesiii balaaa,πDaah hilo jina lako Mungu anajua
Ha haWewe jamaa ningekua mfupi tungekuchinja sikukuu ya wapendanao ππ