Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawazo ya kimaskini pumbavuOne man down
Ww utakua si riziki hv mwanaume u akuja kukosoa mwanaume mwenzio ety wanawake wana haki kuwakataa halafu ww unaungana na wanawake dah watu tafteni thamani ya xAisee mimi ni mwanaume ila wanaume wafupi wanaudhii yaani hata ukimuangalia anatia huruma hasa akiwa na kitambi daah..
Sikosoi uumbaji wa Mungu ila mwanaume kuwa mrefu inapendeza bana
Huyu biriani la ijumaaaMwanaume anapoanza kujadili umbo na kimo cha mwanaume mwenzake inatia mashaka kabisa, kwahiyo unataka wanawake wasiwapende wanaume wafupi, waje wakuoe wewe?
Hiyo picha ni yako, avator?Na hawapendi dharau
Yaani mwanaume mzima unavutiwa na wanaume wenzio?Mawazo ya kimaskini pumbavu
Urefu wa CM ngapi labda unahitahika?Aisee mimi ni mwanaume ila wanaume wafupi wanaudhii yaani hata ukimuangalia anatia huruma hasa akiwa na kitambi daah..
Sikosoi uumbaji wa Mungu ila mwanaume kuwa mrefu inapendeza bana
Kuna watu mnajisahau sana, ...ona huyu mburukenge alichoandika!...Aisee mimi ni mwanaume ila wanaume wafupi wanaudhii yaani hata ukimuangalia anatia huruma hasa akiwa na kitambi daah..
Sikosoi uumbaji wa Mungu ila mwanaume kuwa mrefu inapendeza bana
Wapi nimesema navutiwa?Yaani mwanaume mzima unavutiwa na wanaume wenzio?
Tatizo hilo huyo hakupendi manKuna mwanamke alikuwa slay queen nilizaa naye, ni mrefu kunizidi mimi, ikawa anaogopa kutembea na mimi maeneo ya public; baada ya kuona hivyo, nikajiweka pembeni na kuweka vikwazo vya kiuchumi kama US wanavyofanya; kwa sasa analelewa na wazazi wake.
🤣🤣🤣🤣jamaaa umeniua mbavu fala weweee!!kuna bwege mmoja n mfupi kanitapeli ila kila nikifkiria nawaza yule bwege nikimkamata ntamrefusha na ule ufupi kwanza kutapeiwa na mtu mfupi bonge la zarau kmmmke