The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 1,071
- 1,361
- Thread starter
- #61
Mimi ni straight aisee soma post zangu za nyuma nimejiujga tokea 2015 na mimi sio mtu wa haya mambo pumbavuLipia tangazo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni straight aisee soma post zangu za nyuma nimejiujga tokea 2015 na mimi sio mtu wa haya mambo pumbavuLipia tangazo mkuu
Uwe na adabu aisee hatulingani kabisa heshima iwepoLipia tangazo mkuu
Hapo kabla,yangu???Hio avatar kuna mrembo ashaitumia hapo kabla,
Unataka mm nije ili iweje? Mm situmii kijambio vya wanaume hata za wanawake situmii.Daah watanzania wengi mna matatizo aisee mimi ni straight kabisa kama unabisha niletee mke wako au demu wako au wewe mwenyewe then utakuja kutoa ushahidi humu
Ukiona watu wanakutilia mashaka bc ujue umekosea, mwanaume hatakiwi kutiliwa mashaka ht kdg kwenye ishu kama hizoUwe na adabu aisee hatulingani kabisa heshima iwepo
Kumbuka nina miaka 10 JF soo atulie kabisa na soma post zangu za nyuma uone mimi ni straightUkiona watu wanakutilia mashaka bc ujue umekosea, mwanaume hatakiwi kutiliwa mashaka ht kdg kwenye ishu kama hizo
Labla wahuni wamekuharibu juzi kati hapo 😂Mimi ni straight aisee soma post zangu za nyuma nimejiujga tokea 2015 na mimi sio mtu wa haya mambo pumbavu
Mtoto mdogo wewe hunitishiiUnataka mm nije ili iweje? Mm situmii kijambio vya wanaume hata za wanawake situmii.
Umesema kwa huruma jomoniii,mpaka nimeliaaa😭Imeniuma sana , huu ufupi na hiki kitambi ndio kutunyanyasa binadamu wenzenu?
Huu ufupi naupenda lakiniUmesema kwa huruma jomoniii,mpaka nimeliaaa😭
Afu usijali wala nini, mtoa mada kama hana hela kukuzidi hata kama mrefu vipi tutamuona ngongoti tuu and useless,so please usilie eee,.abujubujubujuu
Aisee mimi ni mwanaume ila wanaume wafupi wanaudhii yaani hata ukimuangalia anatia huruma hasa akiwa na kitambi daah..
Sikosoi uumbaji wa Mungu ila mwanaume kuwa mrefu inapendeza bana
Mtoa mada angekuwa anaishi USA, muda huu ungekuta yupo kwenye maandamano kutaka Trump ajiuzulu 😂
Yaani we endelea kutafuta maokoto tuu,huo ufupi tutaubeba sisi mgongoni,.Huu ufupi naupenda lakini
Hawa watu wanambinu nyingi sana za kujitangaza,Mtoa mada angekuwa anaishi USA, muda huu ungekuta yupo kwenye maandamano kutaka Trump ajiuzulu 😂
Maokoto ni pesa?Yaani we endelea kutafuta maokoto tuu,huo ufupi tutaubeba sisi mgongoni,.
Nilikuja kuligundua hilo mkuu.Pole mkuu, inatakiwa ndege wafananao waruke pamoja
"......Sikosoi uumbaji wa Mungu ......"Aisee mimi ni mwanaume ila wanaume wafupi wanaudhii yaani hata ukimuangalia anatia huruma hasa akiwa na kitambi daah..
Sikosoi uumbaji wa Mungu ila mwanaume kuwa mrefu inapendeza bana