didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
huyu jamaa mwanaume mrefu akikaza anapiga hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Analowa wapi sasaAkiona mwanaume mrefu analowa 🔥
Fafanua mkuuWatu wafupi walemavu wa height, ndio mkae mkijua kuwacheka vilema ni dhambi
Anapolowana kila sikuAnalowa wapi sasa
Utakuwa chakula wewe sio bure.Aisee mimi ni mwanaume ila wanaume wafupi wanaudhii yaani hata ukimuangalia anatia huruma hasa akiwa na kitambi daah..
Sikosoi uumbaji wa Mungu ila mwanaume kuwa mrefu inapendeza bana
Amenishangaza kwa kweli.Wewe ni mwanaume unatamani ama unapenda mwanaume wenzako awe mrefu ili iweje, akupige miti?
Hakuna mtu anachagua mzazi, ufupi ama urefu ni matokeo makubwa sana ya urithi kutoka kwa wazazi. Hakuna mtu anapenda kuwa mfupi kama ingekua uchaguzi wake.
Mimi ni mrefu, kwa Tanzania ni wale tunaitwa tolu,6.5 ila siwezi kudharau mtu kwa sababu ni mfupi.
Tuheshimu utu na maumbile ya watu.
Wanawake wakisema wanapenda wanaume warefu ni sawa ila sio mwanaume unapenda wanaume warefu, wakufanyeje?
😅Aisee mimi ni mwanaume ila wanaume wafupi wanaudhii yaani hata ukimuangalia anatia huruma hasa akiwa na kitambi daah..
Sikosoi uumbaji wa Mungu ila mwanaume kuwa mrefu inapendeza bana
Tatizo ni kukuta janaume refu ila akili yake ni mbilikimo unalikuta limekaa siti ya mbele kwa mwamposa ...wanaume mrefu ila Akili zake kama SAMIA BUSHIRIAisee mimi ni mwanaume ila wanaume wafupi wanaudhii yaani hata ukimuangalia anatia huruma hasa akiwa na kitambi daah..
Sikosoi uumbaji wa Mungu ila mwanaume kuwa mrefu inapendeza bana
Yupo nimemficha.Mwanetu Z anto Yuko wapi ? Alikuimba sana
we umeishia tu kusini tembea uone mkuu kuna mikuki balaa mi sioni ndaniNdio lakin wanawake wa tz wafupi sana
Mwachilie mwana ndugu jamaa na marafiki tunamkumbuka .ufichaji gani huoYupo nimemficha.
Hahahahuyu jamaa mwanaume mrefu akikaza anapiga hapa
Daah watanzania wengi mna matatizo aisee mimi ni straight kabisa kama unabisha niletee mke wako au demu wako au wewe mwenyewe then utakuja kutoa ushahidi humu
Wewe jamaa ningekua mfupi tungekuchinja sikukuu ya wapendanao 😁😁