Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
We bwan wewe,,wapo warefu zaid yanguKwa mwanamke inatisha ingekua dume nisingeshangaa hata!!
We ni mmasai binti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We bwan wewe,,wapo warefu zaid yanguKwa mwanamke inatisha ingekua dume nisingeshangaa hata!!
We ni mmasai binti?
Mmh mbona mi sijawahi waona mnapatikana wapi 🤣?We bwan wewe,,wapo warefu zaid yangu
We upo Tanzania kwel 😳Mmh mbona mi sijawahi waona mnapatikana wapi 🤣?
Kwani nakwede nikiwa mfupi ila mfuko mrefu na huko chini kurefu utanichukia.kweli ?Kumbe na nyiny wanaume mnachukia wanaume wafupi aki nimecheka [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Niko speechlessKwani nakwede nikiwa mfupi ila mfuko mrefu na huko chini kurefu utanichukia.kweli ?
Ndio lakin wanawake wa tz wafupi sanaWe upo Tanzania kwel 😳
Yaani akiona mwanaume mwenzake mrefu anachanganyikiwa,anakua hovuless yaniKwahy jamaa ww hua unavutiwa na wanaume warefu tuu?
Mwanetu Z anto Yuko wapi ? Alikuimba sanaWatu mmelelewa vibaya. This is bullying, body shaming to be precise.
Urefu na ufupi haubadilishiki, ukimkosoa mtu kwa kitu ambacho hakibadilishiki unataka afanyaje?
Mara nyingi mnakuwa hamna furaha, mnataka kuhamishia huzuni zenu kwa wenzenu.
Next time do better.
Don’t be shy talk dirty to me I wanna hear it[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Niko speechless
😂😂😂😂😂😂 Matusi hayo Tena ya jumlaNdio lakin wanawake wa tz wafupi sana
Kwani uongo!!!😂😂😂😂😂😂 Matusi hayo Tena ya jumla
UmemalizaWewe ni mwanaume unatamani ama unapenda mwanaume wenzako awe mrefu ili iweje, akupige miti?
Hakuna mtu anachagua mzazi, ufupi ama urefu ni matokeo makubwa sana ya urithi kutoka kwa wazazi. Hakuna mtu anapenda kuwa mfupi kama ingekua uchaguzi wake.
Mimi ni mrefu, kwa Tanzania ni wale tunaitwa tolu,6.5 ila siwezi kudharau mtu kwa sababu ni mfupi.
Tuheshimu utu na maumbile ya watu.
Wanawake wakisema wanapenda wanaume warefu ni sawa ila sio mwanaume unapenda wanaume warefu, wakufanyeje?
Akiona mwanaume mrefu analowa 🔥Yaani akiona mwanaume mwenzake mrefu anachanganyikiwa,anakua hovuless yani
Kuna mods flan n mshikaji wangu, amenitonya kuwa mtoa mada mpenda wanaume warefu alitaka hii mada ifutwe ila mods wakamkazia hakuna kufuta mpaka apate mume wa kumkaza akojoeIla watu wenye mentality kama za mleta mada ukikaza unajipigia marinda vizuri tu.
Naona amepotea ghafla hachangii uzi wake. Huenda kuna minjemba imemfata PM kumuomba trako baada ya kujitangaza na sasa yupo bize anapambana kubargain nayo PM. Sio kwa ukimya huu wa ghafla 🤔!