Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Nipigie babe 🥰Nini banaa wewee stakiii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hebu hukoo 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipigie babe 🥰Nini banaa wewee stakiii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hebu hukoo 🤣🤣🤣
Na akaufurahiaUkiona hivyo alishapigwa nao
Dah Nimelia sana 😭Si hats mkundu wako ni mrefu shida iko wap wewe bwege
🤣🤣🤣🤣kuna bwege mmoja n mfupi kanitapeli ila kila nikifkiria nawaza yule bwege nikimkamata ntamrefusha na ule ufupi kwanza kutapeiwa na mtu mfupi bonge la zarau kmmmke
Tayari ninetumaaaaAwww, 🥰 yo' sooo shwittttyy kijeba wangu jomoniii 😂tuma tuu na ya shopping, Mimi tall ntavaa tuu flat babe ili nisikuzidi zaidi urefu,au unasemaje? Ila tajiri ukisema nivae kata platform ntavaa🥰
Ahsante my kijeba,.🥳Tayari ninetumaaaa
Inakuwaje unamuangalia mwanaume mwenzako halafu unajiweka kwenye nafasi ya Mwanamke?Aisee mimi ni mwanaume ila wanaume wafupi wanaudhii yaani hata ukimuangalia anatia huruma hasa akiwa na kitambi daah..
Sikosoi uumbaji wa Mungu ila mwanaume kuwa mrefu inapendeza bana
Mwamba anataka kukunwa upeleNimecheka kwa masikitiko makubwa kwasababu ni stage inayofuata kwake
Nimelia sanaInakuwaje unamuangalia mwanaume mwenzako halafu unajiweka kwenye nafasi ya Mwanamke?
Utakuwa na shida kubwa sana wewe. Yaani ukikutana na wanaume wenzako wewe unachagua kujiweka kwenye nafasi ya mwanamke?
Huyu anaweza kuwa mtu wa upindeMwanaume anaanzisha Uzi kuwa havutiwi na wanaume wafupi daah 😄😄
Dunia inaelekea wapi?
Uanaume unaelekea wapi?
Watu wa Rain-MBOROHuyu anaweza kuwa mtu wa upinde
Huyu anaweza kuwa mtu wa upinde
Mtu ashavuliwa ubingwa
Hebu aulizwe atoe uzoefu wakeWenzake walianza hivo hivo kifuatacho atakuja kufungua Uzi mwengine wa kucompare maumbile ya Siri.
Mi ni me, 🤣Vipi mkuu nawewe unawapendea nini wanaume warefu?
Museveni typing,,,,,Sasa ukitakwa upendwe mkubalie mwanaume shortchasis...very romantic..wanajua kucare thou wana hasira balaa akitibuka😁
Hutaki stress sio!Sure ..naprefer mwanaume mfupi
Nop kuna siri behind this😋Hutaki stress sio!