Wanawake mna haki ya kutopenda Wanaume wafupi

Wanawake mna haki ya kutopenda Wanaume wafupi

Kuna mwanamke alikuwa slay queen nilizaa naye, ni mrefu kunizidi mimi, ikawa anaogopa kutembea na mimi maeneo ya public; baada ya kuona hivyo, nikajiweka pembeni na kuweka vikwazo vya kiuchumi kama US wanavyofanya; kwa sasa analelewa na wazazi wake.​
Hana kosa, watu wakiwaona kwa mbali watamwelewa vibaya kuwa anatembea na mwanafunzi.
 
Wewe ni mwanaume unatamani ama unapenda mwanaume wenzako awe mrefu ili iweje, akupige miti?

Hakuna mtu anachagua mzazi, ufupi ama urefu ni matokeo makubwa sana ya urithi kutoka kwa wazazi. Hakuna mtu anapenda kuwa mfupi kama ingekua uchaguzi wake.
Hatari sana 😀😀
 
tunakubali kuna watu wafupi wenye hekma ila siyo huyu boss wangu anakera hivi hawa watu kwanin serikali inawaamino nakuwapa nyadhifa kubwa? Hili nalo wakalitizame.
 
Aisee mimi ni mwanaume ila wanaume wafupi wanaudhii yaani hata ukimuangalia anatia huruma hasa akiwa na kitambi daah..
Sikosoi uumbaji wa Mungu ila mwanaume kuwa mrefu inapendeza bana
Hebu weka picha ya kale ka Emoro alikoangukia Miss Natafuta? Baada ya kupigwa vumbi miaka 10 bila bila imebidi achukue chochote kilichokuja mbele yake!
 
Ah wee bwana mie hela ipo wee nipe namba nikutumie hela uje. Vipi nikuoe na ya shopping kabisa ukanunue crop top na leggings plus high heels mtoto uonekane sexy
Awww, 🥰 yo' sooo shwittttyy kijeba wangu jomoniii 😂tuma tuu na ya shopping, Mimi tall ntavaa tuu flat babe ili nisikuzidi zaidi urefu,au unasemaje? Ila tajiri ukisema nivae kata platform ntavaa🥰
 
Back
Top Bottom