wapunguze hayo maumbile watapata magonjwa ya moyohuku kwetu maumbo ya kibantu afu umevàa ki skin tight huku wezele likienda na kurudi😂
ndio.Tako ni utapiamlo
Utapiamlo ni tumbo!ndio.
Ni laana inayoleta changamoto za uzazi, uzee wa mapema, na magonjwa ya moyo.Sio kweli mkuu
Tako ni neema waliojaliwa wanawake wa kiafrica pekee
Chagua gym ,utaona mengiNyie mademu wa jogging mtakuja mtuuwe jamani
Mnavaa vinguo vya kututega
Sisi wanaume marijali tulishiriki jogging na marathon zenu, tutatoka tumemaliza kila kitu
Tusiige wazungu
Mwanamke wa kizungu hata avae kichupi hawezi kumshawishi mwanaume kihisia, huku kwetu maumbo ya kibantu afu umevàa ki skin tight huku wezele likienda na kurudi😂
Nakuja Dar Jumatano natafuta club ya jogging nijiunge nayo nifurahie unyama
Muhimu tunachukua namba na zoezi linakwisha
Wanawake wa wapi hawana takoSio kweli mkuu
Tako ni neema waliojaliwa wanawake wa kiafrica pekee
kuwa na mafuta kupita kiasi ni utapiamlo, hata kama huna kitambi.Utapiamlo ni tumbo!
Kuna watu ni wembamba lakini wana vitambi.
Ukiwa umejazia hakikisha tumbo halipo.
Unono uwe utapiamlo!Kivipi?ndio.