Wanawake mnafanya jogging na marathon mnatutega

Wanawake mnafanya jogging na marathon mnatutega

sio kweli.

picha za ig zinawadanganya sana mabinti,

wale watu wanafanya cosmetic surgery wanakuwa makatuni.
Njoo kwetu nikuonyeshe ndugu yangu mmoja ana miaka 21 yupo chuo mwaka wa 3 ni Sanchi mtupu! Chini shepu sinia juu tumbo kijiko hakuna cha surgery wala nini.

Kuna wanawake wana mishepu mikubwa halafu vitumbo vidogo usikariri kila kitu ni surgery.

Mungu sio Juma wala John anajua kuumba wewe..!
 
Basi coco beach ndo pa kwenda
njoo kila jumamos utaona kila rangi mkuu, wachina wamo,, wahindi wamoo, ila wabongo kama ulivyosema zile taight mpaka kitumbua unakiona kabisa, kama una roho ndogo utapata shida sana.

kumbuka wengine wanajiuza humo humo kupitia mazoezi jihadhari sana
 
Njoo kwetu nikuonyeshe ndugu yangu mmoja ana miaka 21 yupo chuo mwaka wa 3 ni Sanchi mtupu! Chini shepu sinia juu tumbo kijiko hakuna cha surgery wala nini.

Kuna wanawake wana mishepu mikubwa halafu vitumbo vidogo usikariri kila kitu ni surgery.

Mungu sio Juma wala John anajua kuumba wewe..!
Nipo tayari kuweka dau juu ya huyo ndugu yako kuwa mnene.
 
Njoo kwetu nikuonyeshe ndugu yangu mmoja ana miaka 21 yupo chuo mwaka wa 3 ni Sanchi mtupu! Chini shepu sinia juu tumbo kijiko hakuna cha surgery wala nini.

Kuna wanawake wana mishepu mikubwa halafu vitumbo vidogo usikariri kila kitu ni surgery.

Mungu sio Juma wala John anajua kuumba wewe..!
Hebu njoo PM unipe namba yake nimejitolea kumlea maisha yake yote
 
njoo kila jumamos utaona kila rangi mkuu, wachina wamo,, wahindi wamoo, ila wabongo kama ulivyosema zile taight mpaka kitumbua unakiona kabisa, kama una roho ndogo utapata shida sana.

kumbuka wengine wanajiuza humo humo kupitia mazoezi jihadhari sana
Ntakuwa hapo mkuu
 
Ni mnene chini juu hana tumbo kama Sanchi.
kutokuwa na tumbo kubwa sio kesi!!

utakuta ana nyama mikononi(mabawa)

je, body fat yake ni asilimia ngapi

uzuri macho yana uwezo wa asili wa kupima uwiano wa mwili na kugundua unene.
 
Niwashauli tu nyie wanawake ambao mpo jogging fanyeni mazoezi huku mmevaa Baibui, Kanga au Madera apo kidgo itapunguza matamanio. Maana sio poah unakutana na Mnyash mpaka una data kubaabaake.
ukienda Kokobichi utawakuta wenye mabaibui wengine kininja kabisa na wanafukuza upepo balaa
 
kutokuwa na tumbo kubwa sio kesi!!

utakuta ana nyama mikononi(mabawa)

je, body fat yake ni asilimia ngapi

uzuri macho yana uwezo wa asili wa kupima uwiano wa mwili na kugundua unene.
Nishawahi kuona wanawake wenye mabawa😂 nashukuru Mungu sina aisee💔
 
Nenda kasimame geti la UDSM ukimuona binti mwenye hizi sifa na ana kipini puani ujue ndio yeye.
Sura ipo au ndo umbo lipo ila sura ya baba au kamanda Mruto😅😂
 
mabawa?? ulipigamo kapicha
7e08966bd72ec36d660fe184a8b14097~2.jpg

mshamba_hachekwi
 
Back
Top Bottom