Jumashebby
Senior Member
- Jan 25, 2025
- 111
- 244
Noma mwanangu, alafu asilimia kubwa ya wanawake nao enda jogging ni wake za watu Sasa jichanganye uone si unajua tena mke wa mtu sumu.Ni kula Kwa macho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma mwanangu, alafu asilimia kubwa ya wanawake nao enda jogging ni wake za watu Sasa jichanganye uone si unajua tena mke wa mtu sumu.Ni kula Kwa macho
Ila we kijana🤣🤣🤣ndio.
Achana nao hao wa hivyo ni wakomavu kweli kweli ndio wanafanya mazoezi Jim . Hivyo walishabadilika kutoka ule ulaini wa kike kike na kuwa na misuli na ukomavu mkubwaNyie mademu wa jogging mtakuja mtuuwe jamani
Mnavaa vinguo vya kututega
Sisi wanaume marijali tulishiriki jogging na marathon zenu, tutatoka tumemaliza kila kitu
Tusiige wazungu
Mwanamke wa kizungu hata avae kichupi hawezi kumshawishi mwanaume kihisia, huku kwetu maumbo ya kibantu afu umevàa ki skin tight huku wezele likienda na kurudi😂
Nakuja Dar Jumatano natafuta club ya jogging nijiunge nayo nifurahie unyama
Muhimu tunachukua namba na zoezi linakwisha
Hueleweki, unalalamika kuhusu mavazi ya kina mama wa jogging na uvaaji wao, hapo hapo unakwenda Dar kujiunga na club ya jogging ili ujiumize zaidi ama kupiga punyeto hadharani kama wanaume wa Dar, ni nini haswa unataka?Nyie mademu wa jogging mtakuja mtuuwe jamani
Mnavaa vinguo vya kututega
Sisi wanaume marijali tulishiriki jogging na marathon zenu, tutatoka tumemaliza kila kitu
Tusiige wazungu
Mwanamke wa kizungu hata avae kichupi hawezi kumshawishi mwanaume kihisia, huku kwetu maumbo ya kibantu afu umevàa ki skin tight huku wezele likienda na kurudi😂
Nakuja Dar Jumatano natafuta club ya jogging nijiunge nayo nifurahie unyama
Muhimu tunachukua namba na zoezi linakwisha
huo mkono au mguu?
Nalalamika wapiHueleweki, unalalamika kuhusu mavazi ya kina mama wa jogging na uvaaji wao, hapo hapo unakwenda Dar kujiunga na club ya jogging ili ujiumize zaidi ama kupiga punyeto hadharani kama wanaume wa Dar, ni nini haswa unataka?
Mkono😅huo mkono au mguu?
Wewe kijana si umeoa lakini?Hebu njoo PM unipe namba yake nimejitolea kumlea maisha yake yote
kama unalitafuta ledada mimi sikushauriIla we kijana🤣🤣🤣
Hivi kumbe humu kuna watu wanafanya kwel?🤣🤣😅😂😅Basi taratibu warembo wa Jamii forums wasiijue hii Siri
Huwa nawambia sijaoa
Mwenyekiti mpya hatatuacha salama 😅Mvae vile vya ccm
Mimi ni flat screen mkuu sema T2 zipoo😂😂kama unalitafuta ledada mimi sikushauri
ni matatizo matupu
eliminate tumbo kwa ajili ya afyaMimi ni flat screen mkuu sema T2 zipoo😂😂
Sijui mimi nakaa kundi gani?😂😂😂😂
Sawa mkuu, ahsante kwa ushauri.eliminate tumbo kwa ajili ya afya
ila kuna watu wanapenda wanasema ni cushion
Ya nyuma haipo mkuu🥹🤣T ya nyuma kama ipo
Tutakufanya T ya mbele iondoke