Wanawake mnafanya jogging na marathon mnatutega

Wanawake mnafanya jogging na marathon mnatutega

Nyie mademu wa jogging mtakuja mtuuwe jamani
Mnavaa vinguo vya kututega
Sisi wanaume marijali tulishiriki jogging na marathon zenu, tutatoka tumemaliza kila kitu

Tusiige wazungu
Mwanamke wa kizungu hata avae kichupi hawezi kumshawishi mwanaume kihisia, huku kwetu maumbo ya kibantu afu umevàa ki skin tight huku wezele likienda na kurudi😂

Nakuja Dar Jumatano natafuta club ya jogging nijiunge nayo nifurahie unyama

Muhimu tunachukua namba na zoezi linakwisha
Elezea na biashara yako ya jogging na club yako ...watu mna ujanja wakishamba yani utamani mwanamke kwenye jogging kweli huku anatoka mashasho ...watz tuache upumbavu
 
Njoo kwetu nikuonyeshe ndugu yangu mmoja ana miaka 21 yupo chuo mwaka wa 3 ni Sanchi mtupu! Chini shepu sinia juu tumbo kijiko hakuna cha surgery wala nini.

Kuna wanawake wana mishepu mikubwa halafu vitumbo vidogo usikariri kila kitu ni surgery.

Mungu sio Juma wala John anajua kuumba wewe..!
Nakuja kwenu unioneshe unioneshe huyo ndugu yako. Nitakuja kumthibitishia huyo jamaa.
 
Back
Top Bottom