bonjov
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,100
- 2,491
Ujue wewe, hapa nilikuwa nawaza 'mbawa' zinakuaje
🤣🤣🤣 Nimecheka sana asee so this is one wing 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujue wewe, hapa nilikuwa nawaza 'mbawa' zinakuaje
Hata wewe siushawahi kuziona hizo?Ujue wewe, hapa nilikuwa nawaza 'mbawa' zinakuaje
🤣🤣🤣 Nimecheka sana asee so this is one wing 🤣
Hebu buni T zako za ki-local 🤣🤣🤣Ya nyuma haipo mkuu🥹🤣
Yes! Those are hell of wing ready to deploy 🤣🤣🤣Hata wewe siushawahi kuziona hizo?
Napigwa vita mkuu kisa ni kataa ndoa na jobless 🤣Umechelewa wapi mkuu
Hujapata ?
Elezea na biashara yako ya jogging na club yako ...watu mna ujanja wakishamba yani utamani mwanamke kwenye jogging kweli huku anatoka mashasho ...watz tuache upumbavuNyie mademu wa jogging mtakuja mtuuwe jamani
Mnavaa vinguo vya kututega
Sisi wanaume marijali tulishiriki jogging na marathon zenu, tutatoka tumemaliza kila kitu
Tusiige wazungu
Mwanamke wa kizungu hata avae kichupi hawezi kumshawishi mwanaume kihisia, huku kwetu maumbo ya kibantu afu umevàa ki skin tight huku wezele likienda na kurudi😂
Nakuja Dar Jumatano natafuta club ya jogging nijiunge nayo nifurahie unyama
Muhimu tunachukua namba na zoezi linakwisha
Nakuja kwenu unioneshe unioneshe huyo ndugu yako. Nitakuja kumthibitishia huyo jamaa.Njoo kwetu nikuonyeshe ndugu yangu mmoja ana miaka 21 yupo chuo mwaka wa 3 ni Sanchi mtupu! Chini shepu sinia juu tumbo kijiko hakuna cha surgery wala nini.
Kuna wanawake wana mishepu mikubwa halafu vitumbo vidogo usikariri kila kitu ni surgery.
Mungu sio Juma wala John anajua kuumba wewe..!
Wazee hawaruhusiwi.Nakuja kwenu unioneshe unioneshe huyo ndugu yako. Nitakuja kumthibitishia huyo jamaa.
Wazee haturuhusiwi kuona?Wazee hawaruhusiwi.
Ndio.Wazee haturuhusiwi kuona?
Wazee tumejaa busara mnatuhitaji sanaNdio.
Nyie ni wazazi wetu.Wazee tumejaa busara mnatuhitaji sana
Mzazi wako ni yule alieandikwa kwenye cheti cha kuzaliwa,acha ubaguzi bintiNyie ni wazazi wetu.
Vua miwani ulale.Mzazi wako ni yule alieandikwa kwenye cheti cha kuzaliwa,acha ubaguzi binti
Njoo unipoze
😂 mnamuwaza yeyeMwenyekiti mpya hatatuacha salama 😅