Pole, umewaza mbaliKwani kuna shida gani, barbershop hao wadada ndo wateje watiifu, usituharibie biashara
Sent using Jamii Forums mobile app
please fanya hivyo alafu next sunday imekaribia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125]
ndio nataka kapicha nione kama n kweliUnataka kapicha[emoji1787][emoji1787]
Kwani wewe unavyojua kwa uelewa wako binafsi,kati ya kunyoa na kusuka,kipi ni gharama?Sioni uhusiano kati ya kunyoa na kufulia..by the way ni maamuzi tu ya mtu binafsi
Naomba nimjibie..Kwani wewe unavyojua kwa uelewa wako binafsi,kati ya kunyoa na kusuka,kipi ni gharama?
Ujibu kwa kutumia common sense.
Kusuka ni gharama na kunyoa pia gharama ππKwani wewe unavyojua kwa uelewa wako binafsi,kati ya kunyoa na kusuka,kipi ni gharama?
Ujibu kwa kutumia common sense.
πππ Kipi ni gharama zaidi... ndo concern yangu.Kusuka ni gharama na kunyoa pia gharama ππ
Walau wewe unaleta majibu yenyeweyenyeweππtumefulia! tunanyoa tunaweka bleach kwa mbali imeisha hio
kwanini tujiumize kwa vitu visivyo vya msingi
Kusukaπππ Kipi ni gharama zaidi... ndo concern yangu.
eh mana ef 30 ya kusuka kila wiki 2 sina...Walau wewe unaleta majibu yenyeweyenyewe[emoji4][emoji4]
Na akiweka kale ka mstari?Akiweka wave vaa condom 3
Tunaweka waveAkiweka wave vaa condom 3
Na huwa wanapendeza sanaKunyoa haina uhusiano na Kufulia bhana.
Tena wakati mwingine konyoa ni gharama kuliko hata kusuka.
HahahahaTunaweka wave
Tunakata way
Kwa mbali bleach
Acheni kutumia ndom
Kateni π