Wanawake mnanyoa fashion au mmefulia?

Wanawake mnanyoa fashion au mmefulia?

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,772
Reaction score
22,598
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Kumekuwa na fashoni ya kunyoa nywele kwa wanawake na wadada.

Yaani wananyoa halafu wanapaka na bleach kwenye nywele.

Wanaopendeza sana wengine kulingana na vichwa vyao na sura zao nzuri.

Wengine wanachukiza maana vichwa vyao havikukaa vizuri mnajua simalizii.

Sasa hii fashion ya wadada wamekuwa wakiwa wamefulia au .

Kama ni fashoni mje mtuambie hapa ili tujue kuwa mnanini.
 
Kwani kunyoa kuna shida gani?

Kwani kupaka breach kuna shida gani?

Una uhakika gani wote ambao unawaona hawapendezi wakinyoa kila mtu anawaona hivo?

Wewe umejuaje wapo humu jf?

Huo ni uhuru binafsi haina uhusiano na kufulia.


Una ushamba flani kwa mbali
 
Kwani kunyoa kuna shida gani?

Kwani kupaka breach kuna shida gani?

Una uhakika gani wote ambao unawaona hawapendezi wakinyoa kila mtu anawaona hivo?

Wewe umejuaje wapo humu jf?

Huo ni uhuru binafsi haina uhusiano na kufulia.


Una ushamba flani kwa mbali
Unaonekana unakaubahili Fulani...
 
Back
Top Bottom