Wanawake mnaojenga nyumba kwa siri bila mwenza kujua huwa mnamaanisha nini?

Wanawake mnaojenga nyumba kwa siri bila mwenza kujua huwa mnamaanisha nini?

RESILIENT KATO

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2024
Posts
1,472
Reaction score
2,766
Nataka kujua ndio ujanja, umaarufu, ukisasa, usomi, kiburi, majigambo, majivuno, dharau, umwamba au!!?

Na tena wakati unafanya hivyo upo kwako na mlishajenga pa kuishi na mwenza anakushirikisha Kila jambo la kifamilia analofanya!

MSAADA TAFADHALI, sio kwamba natumika baadae nitangulizwe baada ya mpango kazi wake wa ukwasi kukamilika!

Pia najiuliza ikitokea akanyamaza Sasa hivi hapo alipo hao wasiri wake wengine watawarithisha watoto wake nyumba hiyo Kwa upendo na kama watoto hawajui!!?Ndio maana Huwa nashindwa kuficha maendeleo ninayoyafanya coz sijui ndugu ninaowaamini nikinyamaza Sasa hivi watawaambia watoto au make Mali zangu za Siri!!?au watakula wao na kuwadhulumu!!?

Maoni yenu nitayazingatia!

Kataa ndoa mje pole pole!!

Na wale waume wenza mliopo humu mje pole pole nawajua!
 
Wanajiahami siku mkiachana vitu vyake visiwekwe kwenye mgao.

Jirani yetu anajenga tokea muda ila nyumba bado haijaisha huku mkewe tayari amejenga na nyumba imeisha kaweka wapangaji.
Mume hajui ila majirani tunajua.
Noma sana. niliwahi kusoma kisa kimoja humu humu eti mwanamke kajenga kamaliza na mume anapanga nyumba ya mkewe bila kujua kuwa ni ya mkewe.
 
Wanajiahami siku mkiachana vitu vyake visiwekwe kwenye mgao.

Jirani yetu anajenga tokea muda ila nyumba bado haijaisha huku mkewe tayari amejenga na nyumba imeisha kaweka wapangaji.
Mume hajui ila majirani tunajua.
Kumbe wanakua wamejiandaa kuachana SI ndio!!?

Okh na kama hawana kipato wanakua wanajiandaaje kuachana !!?maana hawana kipato!
 
Wanawake wengi ni wabinafsi.
Jackline Wolper nae alisema nyumba aliyojenga mume wake anamlipa kodi 700k
Aisee... Kuna kipindi nilikuwa napitia msoto yani kula kwenyewe shida niko na mwanamke ndani anaona navyohangaika nimeshuka from 100 to 5 hata kula ni kwa shida. kumbe ana ela lak 7 kaficha kabatini.

Sasa kuna siku nataka kutoka nikatafute hela and nilikuwa na hustle coz niko naye vinginevyo ningerudi kwetu, nikachukua begi lake la mgongoni nibebe kitu. alhaula, manoti yakamwagika. alikuwa amelala. nikachukua na kuzirudisha kabatini nikaondoka na bag. sasa aliposhtuka hizo simu alizopiga akihisi labda nimesepa na fedha yake.

Nikapokea na kumwambia najua umepiga unahisi nimesepa na fedha yake, iko kabatini. Akaanza jieleza about fedha ila mimi nikajua hapa...
 
Mimi namfahamu mwanamke aliyefanya hivyo baada ya kuchoka visa vya mume kuchepuka na manyanyaso.

Sababu yake ilikua kufanya maandalizi ya kutengana na kuhakikisha watoto wake hawakosi pa kuishi.
Hizo ni sababu tu za kuhalalisha ubinafsi, wanawake wengi ni wabinafsi sana.

Mungu ni mwema sana, ndiyo maana hawakuwapa nafasi mkawa chini ya mwanaume
 
Aisee... Kuna kipindi nilikuwa napitia msoto yani kula kwenyewe shida niko na mwanamke ndani anaona navyohangaika nimeshuka from 100 to 5 hata kula ni kwa shida. kumbe ana ela lak 7 kaficha kabatini.
Sasa kuna siku nataka kutoka nikatafte ela and nilikuwa na hustle coz niko naye vinginevyo ningerudi kwetu, nikachukua begi lake la mgongoni nibebe kitu. alhaula, manoti yakamwagika. alikuwa amelala. nikachukua na kuzirudisha kabatini nikaondoka na bag. sasa aliposhtuka hizo simu alizopiga akihisi labda nimesepa na fedha yake.
Nikapokea na kumwambia najua umepiga unahisi nimesepa na fedha yake,, iko kabatini. Akaanza jieleza about fedha ila mimi nikajua hapa ...
Au mwingine anakupa hela halafu anasema kamuazima shoga yake hivyo itabidi hela urudishe baadae, kumbe hela ni za kwake🤣
 
Aisee... Kuna kipindi nilikuwa napitia msoto yani kula kwenyewe shida niko na mwanamke ndani anaona navyohangaika nimeshuka from 100 to 5 hata kula ni kwa shida. kumbe ana ela lak 7 kaficha kabatini.
Sasa kuna siku nataka kutoka nikatafte ela and nilikuwa na hustle coz niko naye vinginevyo ningerudi kwetu, nikachukua begi lake la mgongoni nibebe kitu. alhaula, manoti yakamwagika. alikuwa amelala. nikachukua na kuzirudisha kabatini nikaondoka na bag. sasa aliposhtuka hizo simu alizopiga akihisi labda nimesepa na fedha yake.
Nikapokea na kumwambia najua umepiga unahisi nimesepa na fedha yake,, iko kabatini. Akaanza jieleza about fedha ila mimi nikajua hapa ...
Wee boya kweli kweli...ungeondoka na hizo hela zake zote alafu aamue kufa ya lolote atakalo
 
Dada amejenga nyumba kijijini kwetu, na shemeji hajui wala nn.
Ila naonaga km hajafanya vyema, sijui labda nna akili ndogo ktk uchanganuzi wa mambo.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Wanawake wanapenda kukimbilia kujenga vijijini kwao au karibu na wazazi wake wanapoishi😂 na wazazi huwa wanasupport
 
Back
Top Bottom