Wanawake mnaoomba fedha huwa hamna hisia?

Wanawake mnaoomba fedha huwa hamna hisia?

Kiukwel katika vitu sipendi nikiwa kwenye mahusiano nikumuomba mtu pesa naona kama najishusha flani hivii
Wewe ndio mwanamke pekee nimeona kwenye uzi Huu unaakili na inaonesha umefundwa umefundika unafaa kwa kuolewa na kujengewa sanamu pale Posta
 
Back
Top Bottom