Wanawake, mnaponyaje maumivu ya kusalitiwa na wenza wenu?

Wanawake, mnaponyaje maumivu ya kusalitiwa na wenza wenu?

Tafta furaha yako tu hafu miaka 15 huyo mwanaume atakuwa hata hakut... vizuri hana nguvu za kiume tafta kibeten kikukojoze aisee utashangaa unamuona mjinga.
Dah mimi baby wangu hata afanye nini siumii nahrshimu uamuzi wake kutafta starehe ya kumuridhisha basi, so na mimi nafanya yangu.
Umri huu nimekua staki kuumizwa na mjinga yoyote awe Babu, mume sijui nini woooi I don't care life is too short kuumizwa na uamuzi wa mtu mwingine aisee
hahahah
 
Hapo mume anatakiwa awe mpole kupitiliza, ndiyo imani itarudi na upendo arudishe yeye kuanzia kwa watoto na mama yao ndiyo utajenga imani asipofanya hivyo hutamuamini ng'ooo
kwa kweli kumuamini ni shida.

ukizingatia kuna kujihami asije kukuvuruga tena!!
 
Mwanaume hasusiwi dadangu, yeue ana nafasi ya kuacha na kuoa tena, ana nafasi ya kuongeza mke wa 2. Haya wewe unayevuta mdomo ukamnunia ukiachwa mandazi yanakudodea, ukipata mchepuko wanao watakuadhibu baadae kwa kumsaliti baba yao. Mwanaume ukiona amejirudi shikilia hapohapo usijekupoteza kila kitu. Hata maandiko hayajasema mwanaume mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake, bali yamemtaja mwanamke.
Chukua ushauri wangu dadangu utalia sana mbeleni. Afadhali huyo anakupa unyumba nusunusu mm mke wangu tuna mwaka wa 2 na zaidi sijamgusa na sina hata ham naye naye ana akili kama yako napanga kuoa bi mdo
miaka miwili mkeo hamu zake anamalizia wapi?

zako unamalizia wapi?

kuoa bi mdogo ndio kutasaidia?

lengo la ndoa yenu nini?

kwa nini mlioana ?

Mwanaume hasusiwi dadangu, yeue ana nafasi ya kuacha na kuoa tena, ana nafasi ya kuongeza mke wa 2. Haya wewe unayevuta mdomo ukamnunia ukiachwa mandazi yanakudodea, ukipata mchepuko wanao watakuadhibu baadae kwa kumsaliti baba yao. Mwanaume ukiona amejirudi shikilia hapohapo usijekupoteza kila kitu. Hata maandiko hayajasema mwanaume mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake, bali yamemtaja mwanamke.
Chukua ushauri wangu dadangu utalia sana mbeleni. Afadhali huyo anakupa unyumba nusunusu mm mke wangu tuna mwaka wa 2 na zaidi sijamgusa na sina hata ham naye naye ana akili kama yako napanga kuoa bi mdogo
 
Ngoja niwe msomaji maana ni kama umeniandikia huu uzi. Nimeshindwa kabisa kurudi katika hali ya awali na kuzaa zaidi nimesitisha rasmi, wanangu wawili wananitosha na ndio niko busy nao. Yeye aendelee tu na mambo yake hata sijali tena.
pole.

mie baada ya kujionea mapichapicha mengi niliamua kufunga tu kizazi, as njia nyingine kwangu sio rafiki na kuwekeza nguvu zangu kwa hawa nilionao.
 
Mwanamke akichepu kulipiza kisasi anaona amekukomesha sana anakuwa na amani
Ukiona umechepuka ukampanga na mkasameheana jua katika wale anaowakataakataa mmoja wao umempa neema always wanawake wanatongozwa kwa hiyo anachofanya ni kuangalia tu nani anaelekea elekea anamkubali na akikuta show kali umekuwa mzee

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
halafu unajua mnatutia majaribuni sana

imagine miaka yote ya ndoa sijawahi kutoka nje

mpaka nikawaza hivi hawa wanaonipigia misele si nichague tu mmoja nipumzishe moyo...

sema tu nilimshinda shetani.....ila kawazo kanakuja kanaondoa...mbele kugumu jamani oooh
 
kuna kipindi nilijaribu kumuomba tutoke...
aliniangalia tu kama nyanya mbichi...

labda kwa kuwa siku hizi kawa mpole nijaribu, ingawa ilishanitumbukia nyongo.

matokeo yake natoka mwenyewe au weekend na watoto!!!
Wanaume hatuja zoea kutoka out na wake zetu hiyo tabia tume ikuta kutoka Kwa wazaz wetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna kipindi nilijaribu kumuomba tutoke...
aliniangalia tu kama nyanya mbichi...

labda kwa kuwa siku hizi kawa mpole nijaribu, ingawa ilishanitumbukia nyongo.

matokeo yake natoka mwenyewe au weekend na watoto!!!
Dah inaudhi sana sio siri
Dawa yake ndo hio kumlia kavu tu na yeye...

Bt kuongea kunasaidia mana muda mwingine mtu anahisi hajakosea kitu!kumbe mwingine unaumia
 
Wanawake wa siku hizi Vs Wanaume wa siku hizi
Hehe siku hizi kuna wanawake nao ni mapro! Wana uwezo wa kuchepuka na heshima kwa mume iko pale pale na wakati kuna wanaume wakichepuka wanaanza dharau na kusahau kabisa familia!

Yaani siku hizi dunia iko vice versa kwenye mambo mengi sana hasa haya ya jinsia nashangaa tu kwanini kaka zetu hawataki kukubali hili! Zamani ilizoeleka wanaume wote ni wagumu na wanawake wote ni walaini ila siku hizi kuna wanaume walaini na wanawake wagumu vile vile na maisha yanaenda poa tu kikubwa uhai!
 
Eeh wenyewe huwa hawakosei; kila wanachofanya, chanzo ni mwanamke
Acha kabisa

Tena hawachelewi kulaimu mwanamke utafikiri huyo mwanamke kajioa mwenyewe


Maisha mafupi sana aisee


Na tunaishi mara moja tu


Heri kutafuta amani ya moyo na furaha ya roho
 
Back
Top Bottom