mchakavumlasana
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 389
- 212
- Thread starter
-
- #101
hahahahTafta furaha yako tu hafu miaka 15 huyo mwanaume atakuwa hata hakut... vizuri hana nguvu za kiume tafta kibeten kikukojoze aisee utashangaa unamuona mjinga.
Dah mimi baby wangu hata afanye nini siumii nahrshimu uamuzi wake kutafta starehe ya kumuridhisha basi, so na mimi nafanya yangu.
Umri huu nimekua staki kuumizwa na mjinga yoyote awe Babu, mume sijui nini woooi I don't care life is too short kuumizwa na uamuzi wa mtu mwingine aisee
kwa kweli kumuamini ni shida.Hapo mume anatakiwa awe mpole kupitiliza, ndiyo imani itarudi na upendo arudishe yeye kuanzia kwa watoto na mama yao ndiyo utajenga imani asipofanya hivyo hutamuamini ng'ooo
Ukisusa wenzako wanakula, ukitoa gem under perfomance ataenda kupewa na malaya wananyonya hadi mbupu
asante, ndio maisha.Pole sana na inasikitisha sana...
miaka miwili mkeo hamu zake anamalizia wapi?Mwanaume hasusiwi dadangu, yeue ana nafasi ya kuacha na kuoa tena, ana nafasi ya kuongeza mke wa 2. Haya wewe unayevuta mdomo ukamnunia ukiachwa mandazi yanakudodea, ukipata mchepuko wanao watakuadhibu baadae kwa kumsaliti baba yao. Mwanaume ukiona amejirudi shikilia hapohapo usijekupoteza kila kitu. Hata maandiko hayajasema mwanaume mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake, bali yamemtaja mwanamke.
Chukua ushauri wangu dadangu utalia sana mbeleni. Afadhali huyo anakupa unyumba nusunusu mm mke wangu tuna mwaka wa 2 na zaidi sijamgusa na sina hata ham naye naye ana akili kama yako napanga kuoa bi mdo
Mwanaume hasusiwi dadangu, yeue ana nafasi ya kuacha na kuoa tena, ana nafasi ya kuongeza mke wa 2. Haya wewe unayevuta mdomo ukamnunia ukiachwa mandazi yanakudodea, ukipata mchepuko wanao watakuadhibu baadae kwa kumsaliti baba yao. Mwanaume ukiona amejirudi shikilia hapohapo usijekupoteza kila kitu. Hata maandiko hayajasema mwanaume mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake, bali yamemtaja mwanamke.
Chukua ushauri wangu dadangu utalia sana mbeleni. Afadhali huyo anakupa unyumba nusunusu mm mke wangu tuna mwaka wa 2 na zaidi sijamgusa na sina hata ham naye naye ana akili kama yako napanga kuoa bi mdogo
wanawake haiwaumizi?Usaliti ni kitu kinaumiza zaidi hasa kwa mwanaume
pole.Ngoja niwe msomaji maana ni kama umeniandikia huu uzi. Nimeshindwa kabisa kurudi katika hali ya awali na kuzaa zaidi nimesitisha rasmi, wanangu wawili wananitosha na ndio niko busy nao. Yeye aendelee tu na mambo yake hata sijali tena.
😀😀😀😀😉😉Tafuta mchepuko autulize mtima, akupunguze stress. Hawa viumbe usiwawaze saana
amina!!Kibinadamu ni ngumu hasa moyo ukijeruika,unamuhitaji Mungu sana akupe moyo wa kusamehe na kusahau yaliyopita ili mgange yajayo
halafu unajua mnatutia majaribuni sanaMwanamke akichepu kulipiza kisasi anaona amekukomesha sana anakuwa na amani
Ukiona umechepuka ukampanga na mkasameheana jua katika wale anaowakataakataa mmoja wao umempa neema always wanawake wanatongozwa kwa hiyo anachofanya ni kuangalia tu nani anaelekea elekea anamkubali na akikuta show kali umekuwa mzee
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Wanaume hatuja zoea kutoka out na wake zetu hiyo tabia tume ikuta kutoka Kwa wazaz wetukuna kipindi nilijaribu kumuomba tutoke...
aliniangalia tu kama nyanya mbichi...
labda kwa kuwa siku hizi kawa mpole nijaribu, ingawa ilishanitumbukia nyongo.
matokeo yake natoka mwenyewe au weekend na watoto!!!
Dah inaudhi sana sio sirikuna kipindi nilijaribu kumuomba tutoke...
aliniangalia tu kama nyanya mbichi...
labda kwa kuwa siku hizi kawa mpole nijaribu, ingawa ilishanitumbukia nyongo.
matokeo yake natoka mwenyewe au weekend na watoto!!!
Hehe siku hizi kuna wanawake nao ni mapro! Wana uwezo wa kuchepuka na heshima kwa mume iko pale pale na wakati kuna wanaume wakichepuka wanaanza dharau na kusahau kabisa familia!
Yaani siku hizi dunia iko vice versa kwenye mambo mengi sana hasa haya ya jinsia nashangaa tu kwanini kaka zetu hawataki kukubali hili! Zamani ilizoeleka wanaume wote ni wagumu na wanawake wote ni walaini ila siku hizi kuna wanaume walaini na wanawake wagumu vile vile na maisha yanaenda poa tu kikubwa uhai!
Acha kabisa
Tena hawachelewi kulaimu mwanamke utafikiri huyo mwanamke kajioa mwenyewe
Maisha mafupi sana aisee
Na tunaishi mara moja tu
Heri kutafuta amani ya moyo na furaha ya roho
Ngoja ikusute hadi upate ugonjwa wa moyo ndio akili itakukaa sawa. Narudia tena tafuta wa kukukojoza.
pole.
mie baada ya kujionea mapichapicha mengi niliamua kufunga tu kizazi, as njia nyingine kwangu sio rafiki na kuwekeza nguvu zangu kwa hawa nilionao.
Changamka wewe unafikiri muda ni mjomba wako unakusubiri tuuu!!!!!!Hahahaaa. Time will tell.