Wanawake mnavumilia sana Kudate Wanaume wa Kitanzania

Wanawake mnavumilia sana Kudate Wanaume wa Kitanzania

Hebu waambie hawa wenzio waliotawaliwa na roho za ukata, kutwa pesaaa pesaa, kelele sasa mitandaoni na hasa humu jf kuwa wanawake na wasichana wanataka pesaa pesaaa oneni sasa mwenzenu roho nyeupeee peee, nyie mkitoa hizi pesa mtadai mpaka maini za wasichana wa watu, shame on you!!
Naona na wengine eti wanadai mpaka wapewe naked photos eti ndio wamwamini lady anayeomba kukopeshwa
That’s why I like you some kidukulilo
 
Hebu waambie hawa wenzio waliotawaliwa na roho za ukata, kutwa pesaaa pesaa, kelele sasa mitandaoni na hasa humu jf kuwa wanawake na wasichana wanataka pesaa pesaaa oneni sasa mwenzenu roho nyeupeee peee, nyie mkitoa hizi pesa mtadai mpaka maini za wasichana wa watu, shame on you!!
Naona na wengine eti wanadai mpaka wapewe naked photos eti ndio wamwamini lady anayeomba kukopeshwa
That’s why I like you some kidukulilo
Yule ni mrongoooo tu.....
 
Huwa najiuliza sana mwanamke wa kitanzania anaweza vipi ku date na mwanaume kapuku kama Kiduku Lilo.

Mtu ambaye kununua mayai tray 5 kwa mia 2 elfu anaona ni big deal hafai hata kula chakula cha mbwa wangu.
 
Hebu waambie hawa wenzio waliotawaliwa na roho za ukata, kutwa pesaaa pesaa, kelele sasa mitandaoni na hasa humu jf kuwa wanawake na wasichana wanataka pesaa pesaaa oneni sasa mwenzenu roho nyeupeee peee, nyie mkitoa hizi pesa mtadai mpaka maini za wasichana wa watu, shame on you!!
Naona na wengine eti wanadai mpaka wapewe naked photos eti ndio wamwamini lady anayeomba kukopeshwa
That’s why I like you some kidukulilo
Kwa akili yako unaamini kabisa mtu auziwe mayai mara mbili tena kwa bei tofauti halafu akae kimya, hapo hapo aongezee 50k ya Uber! Huu ni utani aisee!
 
Back
Top Bottom