Yule ni mrongoooo tu.....Hebu waambie hawa wenzio waliotawaliwa na roho za ukata, kutwa pesaaa pesaa, kelele sasa mitandaoni na hasa humu jf kuwa wanawake na wasichana wanataka pesaa pesaaa oneni sasa mwenzenu roho nyeupeee peee, nyie mkitoa hizi pesa mtadai mpaka maini za wasichana wa watu, shame on you!!
Naona na wengine eti wanadai mpaka wapewe naked photos eti ndio wamwamini lady anayeomba kukopeshwa
That’s why I like you some kidukulilo
🤣🤣🤣 najua ila vipande vyenu pokeeniYule ni mrongoooo tu.....
De
Itakuwa mayai ya NgamiaTray la mayai elf 30 ni ya mtu au?
🤣🤣🤣 najua ila vipande vyenu pokeeni
Ha ha ha! kweli vipande vimeingia mkuu....🤣🤣🤣 najua ila vipande vyenu pokeeni
Kweli KweliNjaa inatia watu upofu...
Kwa akili yako unaamini kabisa mtu auziwe mayai mara mbili tena kwa bei tofauti halafu akae kimya, hapo hapo aongezee 50k ya Uber! Huu ni utani aisee!Hebu waambie hawa wenzio waliotawaliwa na roho za ukata, kutwa pesaaa pesaa, kelele sasa mitandaoni na hasa humu jf kuwa wanawake na wasichana wanataka pesaa pesaaa oneni sasa mwenzenu roho nyeupeee peee, nyie mkitoa hizi pesa mtadai mpaka maini za wasichana wa watu, shame on you!!
Naona na wengine eti wanadai mpaka wapewe naked photos eti ndio wamwamini lady anayeomba kukopeshwa
That’s why I like you some kidukulilo