hehehehehehe, dua la kuku halimpati mwewe!pape, iwapo iwapo mwanandoa akiwa msiri sana na mwangalifu halafu mwenzie nae akawa hivyo hivyo,
matokeo yake kila mtu atamuona mwenzie malaika na maisha yatakuwa saaaaaafi sana lakini siku ya mwisho,Mungu atawaambia ondokeni kwangu siwajui.........
Sio kweli.wanawake wengi wana upendo wa dhati kwa waume zao na wala hawatamani kabisa kutafuta wa nje na ndio maana ushahidi upo kwenye wanawake wenye nyumba ndogo ni wachache kuliko wanaume.Yani wanawake wanavumilia waume zao hata kama wana madhaifu makubwa na ndio huruma tunayosema hapa.
hao unaosema mabinti wana wanaume wengi ni asilimia ndogo ya wanawake wengi wanaojiheshimu.na isitoshe hapa tunaongelea ndoa kama nimekuelewa vema vema sio huo upuuzi wa kudanganyana chuo
Na ukweli ni kwamba ukikuta mwanamke katoka nje ya ndoa ujue kuwa kafikia maximum limit ya uvumilivu,huyo mme ameshindikana.Na wengi wanatoka kama revenge kwa waume zao au waume zao wapo bize sana hawawatimizii mahitaji yao.
Ngoja nifanye LOGISTIX hommie! Machale is playing......!!!Tobaa...hommie hapa itakuwaje? itabidi uache kazi!
Ngoja nifanye LOGISTIX hommie! Machale is playing......!!!
Tobaa...hommie hapa itakuwaje? itabidi uache kazi!
come to think of that, i presume she might be beautiful. Wanaenda nje kwa kuwa vya nje vinazidi vya ndani
Omwana, nikishasema awe na makalio mazuri na dimpoz vitatokea?
Kingi hamaanishi features za mwili; kwani hilo hukuliona ulipomchagua kwanza? wacheni zeni hizo mbona mnataka kuhalalisha mabaya?😡
umemsoma vizuri omwana? Maana ya kuonekana ni ipi? Pia mada inasema waume hujuta kwa nini walioa mapema wakikutana na wanawake wenye mvuto
Hata wanawake walioolewa nao wangaependa kuolewa tena ili kupata kitu kipya.
Ndio maana siku hizi idadi ya wanawake wanaokwenda nje ya ndoa inaongezeka.
Tena mwanamke akienda nje ya ndoa ni ngumu sana kumjua, anasafisha na kukausha huko huko au hata nyumbani kwake. Mumewe akirudi anapigiwa mayowe, anadhani mwenzi anaenjoy kumbe ni funika kombe mwanaharamu apite.
Do not underestimate a woman. You rub her back she rubs yours.
Wanaume wengi waliooa wangependa kurudia tena kuoa, ila kifaa kipya chenye mvuto. Ndivyo ilivyo kutokana na mazungumzo mengi ninayokutana nayo. Hili linanifanya nivute subira kwanza kuangaza macho zaidi. Ndipo ninaporudia kauli yangu kuwa uislam uliona mbali kuruhusu mitala.
Annina, mbona kama mimi naona contradictions kati ya blue na red? wakati red inasema kuwa kwa kadiri unavyomzoea mwanamke mapenzi yanapungua, blue inasema kuwa mahusiano mapya yanaanzishwa tu kwa sake ya kuwepo na sio kwamba unakuwa humpendi tena mpenzi wako uliyemzoea.Labda kuna ukweli, kuna kaka mmoja aliwahi kuniambia wanaume kwa asili wanapenda mahusiano mapya ndio maana baada ya muda huwa wanaanzisha mahusiano mengine hata kama hayana maana yeyote kwao - anaweza kuwa na mapenzi ya dhati kwa mke au mpenzi wake lakini akaanzishaa na mahusiano mapya - just for the sake of it! Nadhani kwa wale wachumi wanaweza kuilezea hali hii kwa graph kwamba wanaume graph yao ni downward sloping sababu ya negative relationship kati ya mapenzi na mazoea (wachumi tafadhali msahihishe)!
Annina
Annina, mbona kama mimi naona contradictions kati ya blue na red? wakati red inasema kuwa kwa kadiri unavyomzoea mwanamke mapenzi yanapungua, blue inasema kuwa mahusiano mapya yanaanzishwa tu kwa sake ya kuwepo na sio kwamba unakuwa humpendi tena mpenzi wako uliyemzoea.
I bet to agree with you kwenye blue, ni kweli mahusiano mengine huwa yanaanziashwa tu with no reason, na hata ukimwuliza muhusika kwa nini alifanya hivyo atakujibu tu sababu I was stupid
Asante Fixed Point, naona tuko pamoja kwamba mazoea yanapunguza mapenzi kwa kiasi fulani, ndio sababu ya kuanza kwa mahusiano mengine mapya - hii haimaanishi kutompenda mke/mpenzi wa ulienae isipokuwa mazoea yameondoa ule msisimko wa awali unaochochewa na upya! Hii ni kwa mujibu wa wanaume wenyewe - (mimi sio mwanaume na sijawahi kuwa mwanaume) lakini naamini tunazungumza lugha moja... asante kwa kunielewa!
Annina