Wanawake msijisahau kupita kiasi

Kuna kunenepa na kutaka kufanana umbo na funza.

Wengi hawanenepi bali wanataka kufanya maumbo yao kuwa kama funza.(Hayaeleweki tumbo lipo wapi na kiuno kipo wapi)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo maumbo yetu yanafanana na funza?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hakika mtu unashindwa kabisa kumtofautisha na funza.[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo maumbo yetu yanafanana na funza?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hello my fellow ladies, men wamesema this February" no flat tummy no valentine's gift " tumejipangaje? Tutapewa zawadi kweli[emoji3][emoji3]
Flat tummy vipi tena jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si tulikubaliana na wenye matumbo makubwa tunapewa zawadi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…