Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakika mtu unashindwa kabisa kumtofautisha na funza.[emoji23]
Aisee kwamba sisi na funza hatuna tofauti???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakika mtu unashindwa kabisa kumtofautisha na funza.[emoji23]
Hello my fellow ladies, men wamesema this February" no flat tummy no valentine's gift " tumejipangaje? Tutapewa zawadi kweli[emoji3][emoji3]
tumbo kubwa ukicheza nae bluz unaonekana km unasogeza kabati
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee kwamba sisi na funza hatuna tofauti???
Na shepu zetu za funza tunadunda tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utani wa ngumi huo si mnajua nyie ni jeshi kubwa.
Kwa kweli sijazungumza hivyo.[emoji23]
Linapimwa kwa kipimo gani?Tumbo halipimwi kwa inchi mkuu.
Abort mission!Man Down! Do You Copy Sergeant?
Na shepu zetu za funza tunadunda tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwingine aliwahi niambia eti zinakuwa Kama tangawizi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli wanaume mmetuchoka[emoji119]
Linapimwa kwa kipimo gani?
Abort mission!
Over
Aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Si tumewachoka mmejichoka na miili yenu mkuu[emoji23]
Aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Mtupende hivyohivyo tu na vitambi vyetu
Embu naomba kipimo nijipimeHamna namna.
Mbona langu basi ni pipa kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Embu naomba kipimo nijipime
Isije ikawa nacheka tu tu hapa kumbe mwenyewe ni funza[emoji23]
Mbona langu basi ni pipa kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi naona nina bonge la tumbo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna haja ya kujipima ni kutumia mikono yako na kugusa gusa kama picha inavyojieleza[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakumbushe wengine maana kwenye mavazi wanateseka. Wewe kwenye uzi wa selfika unakataa hilo pipa halipo.