Wanawake msijisahau kupita kiasi

Utani wa ngumi huo si mnajua nyie ni jeshi kubwa.

Kwa kweli sijazungumza hivyo.[emoji23]
Na shepu zetu za funza tunadunda tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwingine aliwahi niambia eti zinakuwa Kama tangawizi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli wanaume mmetuchoka[emoji119]
 
Si tumewachoka mmejichoka na miili yenu mkuu[emoji23]
Na shepu zetu za funza tunadunda tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwingine aliwahi niambia eti zinakuwa Kama tangawizi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli wanaume mmetuchoka[emoji119]
 
Wakumbushe wengine maana kwenye mavazi wanateseka. Wewe kwenye uzi wa selfika unakataa hilo pipa halipo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bora wawe tu na hayo matumbo.
Likiwa dogo sana ni shida..nahangaika sipati size ya kiuno..zote kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…