Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,823
- 3,816
Kwanini unajiaminisha mi Ni kimbaumbau?
Nimesema uhalisia tu mi sio mwembamba kwa Sasa, labda zamani,
-(nje ya mada) kwa sasa hips tu inagonga inch 50, nahangaika kupungua, nitafutie mtu anipe stress nipungue
Ahsante! Ntaanza kujikubali sasa😂
Kweli.huyo atakuwa wakwako tu. Hutku field hao ndio hasa tunawapenda. Kwenye 6x6, match inaoigea kama Bagdadi. Aisee Mungu hakunyimi vyote. Mpaka masela wanabaki kusema hivi umempendea nini? Jibu langu She is a Woman.
Kimsingi mwanamke amepewa vitu vingi sana vyakupenda. Usipompenda kwa
sura utapenda umbo lake. Ukikosa sura na umbo basi tabia itambeba. Ukikosa vyote basi hata miguu tu au macho yatakuvuotia.
Waooo!!!, Kumbe nawe ni flat screen??.Tutajirekebisha
Unamfanya ajifeel special huwa wanakuwa comfatabo sana na ni watamu sanaflat & wembamba wanafaa sana kwa matumizi ila tatizo wengi wao hawajiamini sana faragha.
Huo ndio ukweli. Mwanamke ni sawa na mgodi wa madini Usipikutana na Dhahabu utaambulia japo Madinu ya batiKweli.
Wengine wana sauti nzuri za kumtoa nyoka pangoni, wengine mwendo kama bata... Wengine smile zao mmhh mpk ukilala unaota [emoji12]
Ahsante! Ntaanza kujikubali sasa[emoji23]
Mh we utakuwa na asili ya uuaji Yani wiki moja tu??? Hapana nitafutie mwingineNiko hapa Mama..! Hutojutia yaani, utapungua ndani ya wiki moja tu. Ukisharudia mwili wako tunaachana .. si sawa mama au bado bado ? [emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji2097]
Sasa huyu wakwako ana wembamba gani mtu ana miguu mizuri hivyo naweweIlitakiwa wewe ukiwa nae umfanye ajikubali ili awe huru kama huyu wangu
View attachment 1824540
Nina suluhisho baada ya wiki utakuja kunishukuruKwanini unajiaminisha mi Ni kimbaumbau?
Nimesema uhalisia tu mi sio mwembamba kwa Sasa, labda zamani,
-(nje ya mada) kwa sasa hips tu inagonga inch 50, nahangaika kupungua, nitafutie mtu anipe stress nipungue
Rudi huku mana uzi umenoga mkuu
Naomba ni dm.Afu wangejua dog style issue haikwami popote hata kwa kibamia ....kalio kubwa sometimes wanaume usumbuka kubalance equation
Ahsante! Ntaanza kujikubali sasa[emoji23]
Shida yake sio wembamba, Mtoa mada amezungumzia shepu.Sasa huyu wakwako ana wembamba gani mtu ana miguu mizuri hivyo nawewe
Don't mention it.Soon as ....