Wanawake msio na ‘shepu’ mnaboa sana, hamjiamini na kujiachia tuwapo faragha

Kwanini unajiaminisha mi Ni kimbaumbau?

Nimesema uhalisia tu mi sio mwembamba kwa Sasa, labda zamani,

-(nje ya mada) kwa sasa hips tu inagonga inch 50, nahangaika kupungua, nitafutie mtu anipe stress nipungue

Niko hapa Mama..! Hutojutia yaani, utapungua ndani ya wiki moja tu. Ukisharudia mwili wako tunaachana .. si sawa mama au bado bado ? [emoji3]
 
Kweli.

Wengine wana sauti nzuri za kumtoa nyoka pangoni, wengine mwendo kama bata... Wengine smile zao mmhh mpk ukilala unaota [emoji12]
 
Kweli.

Wengine wana sauti nzuri za kumtoa nyoka pangoni, wengine mwendo kama bata... Wengine smile zao mmhh mpk ukilala unaota [emoji12]
Huo ndio ukweli. Mwanamke ni sawa na mgodi wa madini Usipikutana na Dhahabu utaambulia japo Madinu ya bati
 
Niko hapa Mama..! Hutojutia yaani, utapungua ndani ya wiki moja tu. Ukisharudia mwili wako tunaachana .. si sawa mama au bado bado ? [emoji3]
Mh we utakuwa na asili ya uuaji Yani wiki moja tu??? Hapana nitafutie mwingine
 
Kwanini unajiaminisha mi Ni kimbaumbau?

Nimesema uhalisia tu mi sio mwembamba kwa Sasa, labda zamani,

-(nje ya mada) kwa sasa hips tu inagonga inch 50, nahangaika kupungua, nitafutie mtu anipe stress nipungue
Nina suluhisho baada ya wiki utakuja kunishukuru
 
Rudi huku mana uzi umenoga mkuu

Haha nimerudi Mkuu..! Alfu nilijaribu kuizama PM kwako kuna kufuri mama.! Unaweza kuniruhusu tutete jambo.
Alfu pia baada yapo nitadondosha confession moja hatari
 
Sasa huyu wakwako ana wembamba gani mtu ana miguu mizuri hivyo nawewe
Shida yake sio wembamba, Mtoa mada amezungumzia shepu.

Hebu muangalie tena huyu wangu alivyopigwa pasi hata ......halijai mkononi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…