Wanawake msio na ‘shepu’ mnaboa sana, hamjiamini na kujiachia tuwapo faragha

Wanawake msio na ‘shepu’ mnaboa sana, hamjiamini na kujiachia tuwapo faragha

1.Mtengenezee mazingira ya kujiamini na kujiskia huru anapokua na wewe,

2. Mfundishe unavyotaka wewe awe.

Mwanamke kaumbiwa aibu sana, hasa kwamtu anayempenda.

Mwanamke ambae hajakuzoea vizuri hawez kujiachia achia kiboya boya kama unavyodhani.

Maana na sisi wanaume sometimes hatuishiwagi maneno,
"Yule Mdada kufika TU kashainyonya, sijakaa sawa keshanitengea mbuzi kagoma. Mara kaikalia kwa juu. Aisee Sio bure atakua Malaya Sana Yule mwanamke. Kwa ZILe style HAMNA MKE PALE"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Changamoto kubwa sana hii wanadhani labda mtu hujawi kugonga wenye mizigoooo kumbe kimodo kakuteka yaniiii [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] wengi utasikia wewe hupendi mwanamke mwenye matakooo…
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila jf bwana, kwenye huu uzi kila mtu anapenda flat screen.

Acheni unafiki.

Ila mimi napenda flat screen, sisemi uongo.

Kusema kweli mimi mwanzoni nilikua mdau mkubwa sana wa "mizigo". Yaani nilikua nikiona mdada kafungasha nachanganyikiwa kabisa. Na kama ni kuitafuna nimeitafuna ya kutosha tuu.

Baadae nikaja kugundua kwamba hii midude haina lolote kunako 6x6. Wengi kama sio wote kwanza ni wachovu sana kitandani, wazito, hawanyumbuliki na generally ukishawavua nguo ule mvuto hua haupo tena. Utakutana na manyama, mamikunjo, ma michirizi.. Mbaya zaidi hua wana arrogance fulani ya kudhani kwamba kwavile ana tako kubwa basi inatosha hana haja ya kuhangaika kitandani(hii shida pia wanayo wanawake wazuri wa sura). Siku hizi sina kabisa mzuka na hayo madude, hua nayaangalia tu yakipita walaa sigeuzi shingo. Kwasasa nimehamishia majeshi kwenye vijitu kama hivi..
Screenshot_20210630-144240_Instagram.jpg
 
Mademu flat wazuri kwenye sex mana mikao yote wanaenda bila shida..ila hawanogi kuwa mama wa nyumba..mama wa nyumba ananoga demu bonge..ukiingia ndani unajua huyu ndio maza house..demu mwembamba hajulikani ni maza haus ama beki tatu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Haha nimerudi Mkuu..! Alfu nilijaribu kuizama PM kwako kuna kufuri mama.! Unaweza kuniruhusu tutete jambo.
Alfu pia baada yapo nitadondosha confession moja hatari

Hahahhaha confession ipi tena jamani?
Si tulkubaliana tunayaongelea apa apa
Kule piemu ni maswala ya kwa wakala tuu mkuu
 
Hahahhaha confession ipi tena jamani?
Si tulkubaliana tunayaongelea apa apa
Kule piemu ni maswala ya kwa wakala tuu mkuu

[emoji28][emoji28][emoji28] Unajuaje mama angu? Kuna salio kwenye simu yangu nataka nifanye give away kwa watoto wazuri ambao wanakonga moyo moyo na kuburuza hisia zangu
 
[emoji28][emoji28][emoji28] Unajuaje mama angu ?? Kuna salio kwenye simu yangu nataka nifanye give away kwa watoto wazuri ambao wanakonga moyo moyo na kuburuza hisia zangu

Mambo si ndo hayo sasa mkuu
Na penye vile weekend inakaribia utakua umefanya jambo la maana mno
Afu unanijulia wewe[emoji16][emoji16]
 
Mambo si ndo hayo sasa mkuu
Na penye vile weekend inakaribia utakua umefanya jambo la maana mno
Afu unanijulia wewe[emoji16][emoji16]

Eeeh Mama [emoji8][emoji8][emoji8]…!! Unaonaje sasa ukija huku faragha mara moja tuyajenge kabla Voda hawajaninyofoa salio langu kwenye Mpesa .!
 
Eeeh Mama [emoji8][emoji8][emoji8]…!! Unaonaje sasa ukija huku faragha mara moja tuyajenge kabla Voda hawajaninyofoa salio langu kwenye Mpesa .!

Ngoja nije mkuu
Mana voda wachonganishi kweli wasijeharibu mambo yetu
 
Heshima Kwenu Wana JF,

Wanawake wengi flat screen na vimbau mbau unaweza kua umewapenda the way walivyo lakini tatizo lao kubwa wakiwa faragha hawana confidence ya kujiachia kama wenye maumbo yao.

Badilikeni mnatuboa sana maana sie hua tumewapenda vile mlivyo
Wanawake wengi flat screen na vimbau mbau[emoji3064][emoji3064][emoji3064]
 
Back
Top Bottom