Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
HahahaSawa tutabadilika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaSawa tutabadilika
Inakuwa kwa shida na raha....
Sa si bora uchukue yoyote kuliko kuchagua afu akawa tofauti na mategemeoInakuwa kwa shida na raha....
halafu mabadiliko ni kawaida make hata wewe haupo kama alivokukuta.
Yeyote tena?!!! Kula kitu roho inapenda brother....Sa si bora uchukue yoyote kuliko kuchagua afu akawa tofauti na mategemeo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi sipendi mtu anenepe kamwe, ukinenepa nitakusema daily ili urudi kama zamani usivuke kg 80Yeyote tena?!!! Kula kitu roho inapenda brother....
Naona kama umeanza kunisema na mimi hapa...😁Mi sipendi mtu anenepe kamwe, ukinenepa nitakusema daily ili urudi kama zamani usivuke kg 80
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani nikukute uko 48, nikuoe upande hadi 90 we huo unakuwa ni mzigo wengine twa maintain hatuvuki 70, uwe 80 maana yake nisikinyenyueNaona kama umeanza kunisema na mimi hapa...[emoji16]
Ndio anaweza kuwa bonge ila flat screen,vimbaumbau ni wembamba hao automatically hawana zigo la kuvunja chaga.[emoji28][emoji28]Wanawake wengi flat screen na vimbau mbau[emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Picha tafadhali nasi tuweke wetu tuwasute humu humu maana wamezidi.Heshima Kwenu Wana JF,
Wanawake wengi flat screen na vimbau mbau unaweza kua umewapenda the way walivyo lakini tatizo lao kubwa wakiwa faragha hawana confidence ya kujiachia kama wenye maumbo yao.
Badilikeni mnatuboa sana maana sie hua tumewapenda vile mlivyo.
Sasa na nyie, mmezidi kusifia wowowo, ndo maana ngongingo wanajistukia. [emoji23][emoji23][emoji23]Changamoto sana yani hawajiamini anahisi unamuonea huruma sijuiii… kumbe anakupa kitu kitamu mnooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mademu flat wazuri kwenye sex mana mikao yote wanaenda bila shida..ila hawanogi kuwa mama wa nyumba..mama wa nyumba ananoga demu bonge..ukiingia ndani unajua huyu ndio maza house..demu mwembamba hajulikani ni maza haus ama beki tatu.
#MaendeleoHayanaChama
Mkuu hauna hata picha ya kalio tu la demu wako utuwekee tumjadili kidogo?Heshima Kwenu Wana JF,
Wanawake wengi flat screen na vimbau mbau unaweza kua umewapenda the way walivyo lakini tatizo lao kubwa wakiwa faragha hawana confidence ya kujiachia kama wenye maumbo yao.
Badilikeni mnatuboa sana maana sie hua tumewapenda vile mlivyo.