Wanawake msituumize kihisia kwa kutoka nje ya ndoa ili kulipiza kisasi

Wanawake msituumize kihisia kwa kutoka nje ya ndoa ili kulipiza kisasi

😀😀😀😀😀yaaani angekuepo leo 😀😀ningempea yote wallah
Yote ni sababu ya kufurahia maumivu ya wanaume, alafu bado utampea mwanaume.
 
Mwanamke naye Ni binadamu Ameumbwa na hisia za mapenzi, mwanaume anawaza kwenda kumridhisha michepuko wake na huku ndani visingizio kibao tendo hamna au la manati kwanini huyo mke asichepuke?
 
Kuna hii tabia ya baadhi ya wanawake kutoka nje ya ndoa sababu tu ya kuwakomoa waume zao baada ya kugundua kwamba waume zao wanatoka nje ya ndoa.

Kiukweli sisi wanaume tunaumia sana kuliko hata nyinyi mnavyoumia pindi tukigundua kwamba mnatoka nje ya ndoa.

Kwanini tunaumia? Tunaumia kwasababu mara nyingi nyinyi wanawake mkitoka nje ya ndoa mnahamisha upendo wote kwa wapenzi wenu wa nje ya ndoa.

Ndio maana sisi wanaume ni ngumu sana kusamehe pindi tunapowafumania wake zetu au wapenzi wetu sababu tunaamini upendo umeshahamia kwa mwanaume ambae nimekukamata nae.

Wanaume tumeumbiwa tamaa ila wanawake mnapenda kwa hisia ndio maana tukiwakamata mnachiti hatuna msamaha sababu tunaamini mshahamisha hisia kwa wanaume wengine wa nje.Ni wanaume wachache sana ambae wanawasamehe wake zao baada ya kuwafumania na unaweza kuta ni mmoja kati ya mia moja.

Mwanaume anaweza akawa ameoa na akawa na vimada wawili au watatu nje ya ndoa lakini asipunguze upendo kwa mke wake wa ndoa ila mwanamke akiwa na mchepuko nje ya ndoa upendo wote anahamishia kwa mchepuko na lazima tu utajua kwamba mke wangu sasa anatoka nje ya ndoa.

Wanawake jitahidini kutotoka nje ya ndoa zenu mana maumivu mnayotupatia hayaelezeki na ndio maana wengine wanashindwa kuvumilia na kukatisha uhai wao au kukatisha uhai wako na wake kwa pamoja.

Nadhani kwa hayo machache nimeeleweka na natumai mtabadirika.
Poleni sana
 
Kuna hii tabia ya baadhi ya wanawake kutoka nje ya ndoa sababu tu ya kuwakomoa waume zao baada ya kugundua kwamba waume zao wanatoka nje ya ndoa.

Kiukweli sisi wanaume tunaumia sana kuliko hata nyinyi mnavyoumia pindi tukigundua kwamba mnatoka nje ya ndoa.

Kwanini tunaumia? Tunaumia kwasababu mara nyingi nyinyi wanawake mkitoka nje ya ndoa mnahamisha upendo wote kwa wapenzi wenu wa nje ya ndoa.

Ndio maana sisi wanaume ni ngumu sana kusamehe pindi tunapowafumania wake zetu au wapenzi wetu sababu tunaamini upendo umeshahamia kwa mwanaume ambae nimekukamata nae.

Wanaume tumeumbiwa tamaa ila wanawake mnapenda kwa hisia ndio maana tukiwakamata mnachiti hatuna msamaha sababu tunaamini mshahamisha hisia kwa wanaume wengine wa nje.Ni wanaume wachache sana ambae wanawasamehe wake zao baada ya kuwafumania na unaweza kuta ni mmoja kati ya mia moja.

Mwanaume anaweza akawa ameoa na akawa na vimada wawili au watatu nje ya ndoa lakini asipunguze upendo kwa mke wake wa ndoa ila mwanamke akiwa na mchepuko nje ya ndoa upendo wote anahamishia kwa mchepuko na lazima tu utajua kwamba mke wangu sasa anatoka nje ya ndoa.

Wanawake jitahidini kutotoka nje ya ndoa zenu mana maumivu mnayotupatia hayaelezeki na ndio maana wengine wanashindwa kuvumilia na kukatisha uhai wao au kukatisha uhai wako na wake kwa pamoja.

Nadhani kwa hayo machache nimeeleweka na natumai mtabadirika.
"Wanawake jitahidini kutotoka nje ya ndoa zenu mana maumivu mnayotupatia hayaelezeki na ndio maana wengine wanashindwa kuvumilia na kukatisha uhai wao au kukatisha uhai wako na wake kwa pamoja."
[emoji115][emoji115]
Kwa nini usijiongelee peke yako? Upo timamu? Mavi matupu
 
Kuna hii tabia ya baadhi ya wanawake kutoka nje ya ndoa sababu tu ya kuwakomoa waume zao baada ya kugundua kwamba waume zao wanatoka nje ya ndoa.

Kiukweli sisi wanaume tunaumia sana kuliko hata nyinyi mnavyoumia pindi tukigundua kwamba mnatoka nje ya ndoa.

Kwanini tunaumia? Tunaumia kwasababu mara nyingi nyinyi wanawake mkitoka nje ya ndoa mnahamisha upendo wote kwa wapenzi wenu wa nje ya ndoa.

Ndio maana sisi wanaume ni ngumu sana kusamehe pindi tunapowafumania wake zetu au wapenzi wetu sababu tunaamini upendo umeshahamia kwa mwanaume ambae nimekukamata nae.

Wanaume tumeumbiwa tamaa ila wanawake mnapenda kwa hisia ndio maana tukiwakamata mnachiti hatuna msamaha sababu tunaamini mshahamisha hisia kwa wanaume wengine wa nje.Ni wanaume wachache sana ambae wanawasamehe wake zao baada ya kuwafumania na unaweza kuta ni mmoja kati ya mia moja.

Mwanaume anaweza akawa ameoa na akawa na vimada wawili au watatu nje ya ndoa lakini asipunguze upendo kwa mke wake wa ndoa ila mwanamke akiwa na mchepuko nje ya ndoa upendo wote anahamishia kwa mchepuko na lazima tu utajua kwamba mke wangu sasa anatoka nje ya ndoa.

Wanawake jitahidini kutotoka nje ya ndoa zenu mana maumivu mnayotupatia hayaelezeki na ndio maana wengine wanashindwa kuvumilia na kukatisha uhai wao au kukatisha uhai wako na wake kwa pamoja.

Nadhani kwa hayo machache nimeeleweka na natumai mtabadirika.
Kumbe mkuki kwa nguruwe? Ukitoka acha na mwenzio atoke aone na kufaidi hicho kinachokutoa.
 
Kuna hii tabia ya baadhi ya wanawake kutoka nje ya ndoa sababu tu ya kuwakomoa waume zao baada ya kugundua kwamba waume zao wanatoka nje ya ndoa.

Kiukweli sisi wanaume tunaumia sana kuliko hata nyinyi mnavyoumia pindi tukigundua kwamba mnatoka nje ya ndoa.

Kwanini tunaumia? Tunaumia kwasababu mara nyingi nyinyi wanawake mkitoka nje ya ndoa mnahamisha upendo wote kwa wapenzi wenu wa nje ya ndoa.

Ndio maana sisi wanaume ni ngumu sana kusamehe pindi tunapowafumania wake zetu au wapenzi wetu sababu tunaamini upendo umeshahamia kwa mwanaume ambae nimekukamata nae.

Wanaume tumeumbiwa tamaa ila wanawake mnapenda kwa hisia ndio maana tukiwakamata mnachiti hatuna msamaha sababu tunaamini mshahamisha hisia kwa wanaume wengine wa nje.Ni wanaume wachache sana ambae wanawasamehe wake zao baada ya kuwafumania na unaweza kuta ni mmoja kati ya mia moja.

Mwanaume anaweza akawa ameoa na akawa na vimada wawili au watatu nje ya ndoa lakini asipunguze upendo kwa mke wake wa ndoa ila mwanamke akiwa na mchepuko nje ya ndoa upendo wote anahamishia kwa mchepuko na lazima tu utajua kwamba mke wangu sasa anatoka nje ya ndoa.

Wanawake jitahidini kutotoka nje ya ndoa zenu mana maumivu mnayotupatia hayaelezeki na ndio maana wengine wanashindwa kuvumilia na kukatisha uhai wao au kukatisha uhai wako na wake kwa pamoja.

Nadhani kwa hayo machache nimeeleweka na natumai mtabadirika.
Usichokijua ni kwamba kama Mwanamke amekupenda kweli basi Kila unachompa anakurudushia kikiwa maradufu. Ukimpa mapenzi atakurudishia mapenzi kwa wingi. Ukichepuka mara moja na akagundua basi yeye atachepuka maradufu. Hii inafanya kazi Kwa Mwanamke ambaye ana hisia na wewe deep down.

NB Acha kujipa haki za kijinga. Wote Me na Ke tunapaswa kuwa waaminifu Kwa wenza wetu. Chepuka at your own risk.

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Ila wanaume ni wabinafsi [emoji23][emoji23][emoji23] akimuumiza mwanamke anakimbilia kusema ni NATURE akiumizwa yeye analalamika
Sio wote. Mimi nikiwa na Mwanamke wangu simchanganyi kabisa na wanawake wengine yaani hata iweje. Kumuumiza kihisia mtu aliyekuamini ni kujitafutia laana. Na lazima utaipata Tu.

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Well, wake za watu ni warahisi kwa sababu kuu mbili.

1. Unakuta mwanamke katulia tu lakini kuna mambo yanamlazimisha atoke nje ya ndoa katika kutafuta faraja mana wanawake wanachohitaji wao ni faraja.Ndio maana usishangae Ex wako akawa na mpenzi mwingine lakini siku akiachika kule kwenye penzi jipya atakurudia wewe ili tu apate faraja.

2. Sababu ya pili ni kwamba kuna baadhi ya wanawake wamerithi tabia za umalaya toka kwenye familia zao kwahiyo mwanamke wa namna hiyo hata uwe mwema vipi kwake lazima tu atatoka nje ya ndoa.

Nadhani kwasababu hizo mbili utakua umenielewa
Umalaya sio tabia ya kurithi ni tabia ya kujifunza

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Ukute ni mimi et unanikomoa kwa kuliwa eti kisa nmekusaliti !!! Utaliwa sana wala sitajal na ukicheza nitakuuza kwa wahuni wenzangu bila ww kujijua.
 
Back
Top Bottom