Wanawake mtambue mwanaume kuvumilia usaliti ni 1 kati ya 10 chezeni kwa step

Wanawake mtambue mwanaume kuvumilia usaliti ni 1 kati ya 10 chezeni kwa step

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Sijui nisemeje lakini kiuhalisia mwanaume ukijua kuwa mke wako au mpenzi anatembea na mwanaume mwingine akili inaruka na kuwa kama mwehu na kama utashindwa kujizuia kidogo unaweza kujikuta unafanya mauaji ya kutisha.

Nayasema haya kwasababu wanawake wamekuwa hawaelewi ni nini kinapelekea mtu kumuuwa mkewe au mpenzi wake kwa sababu tu ya wivu wa kimapenzi though hutokea pia kwa wanawake wachache kuwaua wapenzi wao.

Nachotaka kushauri kwa wanawake na wanaume ukiona uhusiano/ndoa imekushinda mweleze mwenzio muachane kwa amani msije kuacha watoto wadogo bila wazazi maana mmoja atafungwa maisha na mwengine atakuwa marehemu.
 
Kukubali ujinga na kushindwa ni best way ya kucontrol emotion!
TOFAUTI YOYOTE KWENYE MAHUSIANO YA KIMAPENZI NA NDOA KUKUBALI UJINGA NA KUSHINDWA NDIO NJIA SAHIHI!
AWE ME AU KE!!!
Kukubali ujinga ndio mtihani wenyewe sheikh wangu.
 
Kuna mambo mengine kuvumilia inataka uwe na ujasiri wa ziada mkuu. Kusikia mke wako analiwa si jambo dogo eti.
Na ukubwa pia halina mkuu. Kabla hujatenda tafakari kidogo haya.
Ulimtoa wapi
Ulimkutaje
Wewe ni msafi kiasi gani
Umekidhi matarajio yake
Amekidhi matarajio yako.
Kuna maisha bila yeye ?kama yapo yatakuwa vipi.
Baada ya hapo chukua hatua.
 
Pengine ushawahi kuisikia hii stori.

Kuna mmakonde mkewe alikua malaya sana jamaa akipita mtaani ananyooshewa vidole.
Siku hiyo anarudi nyumbani akakutana na watoto wa shule ya msingi wakisimulia kua wamempiga fiesta mke wa jamaa.

Jamaa akafika nyumbani kwa ghadhabu anamwambia mkewe "Iyeee kukitembeza ntaa njima umeona haitochi umewapelekea mpaka watoto baah, nitafungulia n'jiki chidi mia chaba na mimi nigawe nkundu ntaa wote huu...halafu tuwaulije nani ntamu"
 
Na ukubwa pia halina mkuu. Kabla hujatenda tafakari kidogo haya.
Ulimtoa wapi
Ulimkutaje
Wewe ni msafi kiasi gani
Umekidhi matarajio yake
Amekidhi matarajio yako.
Kuna maisha bila yeye ?kama yapo yatakuwa vipi.
Baada ya hapo chukua hatua.
Mkuu unadhani wanaochukua hatua za kuuwa hawatafakari. Hapa ni kuomba hekima za kimungu
 
Pengine ushawahi kuisikia hii stori.

Kuna mmakonde mkewe alikua malaya sana jamaa akipita mtaani ananyooshewa vidole.
Siku hiyo anarudi nyumbani akakutana na watoto wa shule ya msingi wakisimulia kua wamempiga fiesta mke wa jamaa.

Jamaa akafika nyumbani kwa ghadhabu anamwambia mkewe "Iyeee kukitembeza ntaa njima umeona haitochi umewapelekea mpaka watoto baah, nitafungulia n'jiki chidi mia chaba na mimi nigawe nkundu ntaa wote huu...halafu tuwaulije nani ntamu"
Hahahahahhaah [emoji23][emoji23][emoji16][emoji3][emoji23]
 
Ni wachache Sana wanaweza kujizuia na ghadhabu mkuu
Haswaaa.. wanawake wanatakiwa wajue kuwa mwanaume anafikiri in logic na wao wanafikiri kwa kutumia hisia.

Kwa vyovyote vile hakuna mwanaume dunian ambaye atavumilia dharau kutoka kwa mwanamke wake, au kutoka kwa mke anae mwamini, huyo mwanaume hayuko.

So wanawake kama mna shida fulani semeni, unaona kuna tatizo kwa mwenzio sema, kuna jambo alikufurahishi sema. Huku kununa , kukaa kimya alaf ukachepuka, au ukamganyia mwanaume dharau.. matokeo yake ndio haya
 
Sijui nisemeje lakini kiuhalisia mwanaume ukijua kuwa mke wako au mpenzi anatembea na mwanaume mwingine akili inaruka na kuwa kama mwehu na kama utashindwa kujizuia kidogo unaweza kujikuta unafanya mauaji ya kutisha.

Nayasema haya kwasababu wanawake wamekuwa hawaelewi ni nini kinapelekea mtu kumuuwa mkewe au mpenzi wake kwa sababu tu ya wivu wa kimapenzi though hutokea pia kwa wanawake wachache kuwaua wapenzi wao.

Nachotaka kushauri kwa wanawake na wanaume ukiona uhusiano/ndoa imekushinda mweleze mwenzio muachane kwa amani msije kuacha watoto wadogo bila wazazi maana mmoja atafungwa maisha na mwengine atakuwa marehemu.
Mr robert nimegundua kuwa wanawake wengi wanafikiri wadada wengi wanadhani kuwa wanavyowaza wao ndio wanaume wanawaza hivyo hivyo...
Wanakosea sana, mwanaume anatumia logic, mwanamke anatumia hisia.

Kwa mwanaume 1 + 1 = 2
Kwa mwanamke 1 + 1 = kama hisia zitasema ni 5 , 6,3,0 hayo ndio majibu.

nawaasa wadada kuwa wawazi na waaminifu kwa wapenzi wao, unapokuwa muwazi unamrahisishia mwanaume kazi ya kukuhudumia, inakuwa rahisi kujua mke wake anahitaji nini. Lakini kama itakuwa mdada unanuna, huongei, dharau , jua kabisa mumeo anakukusanyia nguvu.. nani suala la muda tu lolote laweza tokea.
 
Kama jamii lazima tukubali kuwa talaka saa nyingine ni suluhisbo la migogoro kama hiyo.
Pia kipindi hiki cha hali ngumu makosa ya uhalifu na unyanysaji wa kijinsia au mauji ya kimahusiano huongezeka kutokana na stresa za maisha.

Wanawake kwa wanaume ukiona mahusiano yamekushinda dai talaka omba muachane kwa amani usi cheat kwani una risk afya yako na ya mwenzio na unarisk hata maisha yako. Mlikutana kwa amani achaneni kwa amani
 
Back
Top Bottom