Wanawake mtambue mwanaume kuvumilia usaliti ni 1 kati ya 10 chezeni kwa step

Wanawake mtambue mwanaume kuvumilia usaliti ni 1 kati ya 10 chezeni kwa step

Mwanamke? Nifanyie ujinga lkn sio usaliti. Usaliti nikauthibitisha nilazima tuachane tu tena nbora uniache mapema kabla sijajua, kwasababu nikijua ,ukiona sijakuacha km weee ni mpenzi/mchumba tutaishia tu kukutumia lkn sitokaa nifanye hatua nyingine yabhapo naabadae bado tutaachana tu kwasababu hata mahusiano yenyewe hatokaa ayafurahie tena,..... Shida moja nilonayo nimgumu kusahau na msamaha wangu unategemea nakosa .

Simpo.
 
Haswaaa.. wanawake wanatakiwa wajue kuwa mwanaume anafikiri in logic na wao wanafikiri kwa kutumia hisia.

Kwa vyovyote vile hakuna mwanaume dunian ambaye atavumilia dharau kutoka kwa mwanamke wake, au kutoka kwa mke anae mwamini, huyo mwanaume hayuko.

So wanawake kama mna shida fulani semeni, unaona kuna tatizo kwa mwenzio sema, kuna jambo alikufurahishi sema. Huku kununa , kukaa kimya alaf ukachepuka, au ukamganyia mwanaume dharau.. matokeo yake ndio haya
Well well well said mkuu huu ndiyo ushauri
 
Haswaaa.. wanawake wanatakiwa wajue kuwa mwanaume anafikiri in logic na wao wanafikiri kwa kutumia hisia.

Kwa vyovyote vile hakuna mwanaume dunian ambaye atavumilia dharau kutoka kwa mwanamke wake, au kutoka kwa mke anae mwamini, huyo mwanaume hayuko.

So wanawake kama mna shida fulani semeni, unaona kuna tatizo kwa mwenzio sema, kuna jambo alikufurahishi sema. Huku kununa , kukaa kimya alaf ukachepuka, au ukamganyia mwanaume dharau.. matokeo yake ndio haya
Nimefuatilia mijadala ya hawa wanawake waliouwawa na waume zao wanawake wengi wanashindwa kuelewa kwanini inakuwa hivyo sasa najaribu kuwapa psychology yamwanaume anapogundua anasalitiwa.
 
Mr robert nimegundua kuwa wanawake wengi wanafikiri wadada wengi wanadhani kuwa wanavyowaza wao ndio wanaume wanawaza hivyo hivyo...
Wanakosea sana, mwanaume anatumia logic, mwanamke anatumia hisia.

Kwa mwanaume 1 + 1 = 2
Kwa mwanamke 1 + 1 = kama hisia zitasema ni 5 , 6,3,0 hayo ndio majibu.

nawaasa wadada kuwa wawazi na waaminifu kwa wapenzi wao, unapokuwa muwazi unamrahisishia mwanaume kazi ya kukuhudumia, inakuwa rahisi kujua mke wake anahitaji nini. Lakini kama itakuwa mdada unanuna, huongei, dharau , jua kabisa mumeo anakukusanyia nguvu.. nani suala la muda tu lolote laweza tokea.
Kabisa mkuu wanawake wanapaswa kuwaelewa wanaume tofauti na wanavyojifikiria wao.
 
Kama jamii lazima tukubali kuwa talaka saa nyingine ni suluhisbo la migogoro kama hiyo.
Pia kipindi hiki cha hali ngumu makosa ya uhalifu na unyanysaji wa kijinsia au mauji ya kimahusiano huongezeka kutokana na stresa za maisha.

Wanawake kwa wanaume ukiona mahusiano yamekushinda dai talaka omba muachane kwa amani usi cheat kwani una risk afya yako na ya mwenzio na unarisk haya maisha yako. Mlikutana kwa amani achaneni kwa amani
[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Mwanamke? Nifanyie ujinga lkn sio usaliti. Usaliti nikauthibitisha nilazima tuachane tu tena nbora uniache mapema kabla sijajua, kwasababu nikijua ,ukiona sijakuacha km weee ni mpenzi/mchumba tutaishia tu kukutumia lkn sitokaa nifanye hatua nyingine yabhapo naabadae bado tutaachana tu kwasababu hata mahusiano yenyewe hatokaa ayafurahie tena,..... Shida moja nilonayo nimgumu kusahau na msamaha wangu unategemea nakosa .

Simpo.
[emoji106][emoji106]
 
Kama jamii lazima tukubali kuwa talaka saa nyingine ni suluhisbo la migogoro kama hiyo.
Pia kipindi hiki cha hali ngumu makosa ya uhalifu na unyanysaji wa kijinsia au mauji ya kimahusiano huongezeka kutokana na stresa za maisha.

Wanawake kwa wanaume ukiona mahusiano yamekushinda dai talaka omba muachane kwa amani usi cheat kwani una risk afya yako na ya mwenzio na unarisk haya maisha yako. Mlikutana kwa amani achaneni kwa amani
Tatizo letu nchi zinazoendelea mtu anavumilia ndoa hata Kama kuna matatizo ambayo usuluhishi wake ni mgumu. Jamie zetu zinapaswa kubadili mtazamo kuepusha vifo visivyo vya lazima.
 
Tatizo letu nchi zinazoendelea mtu anavumilia ndoa hata Kama kuna matatizo ambayo usuluhishi wake ni mgumu. Jamie zetu zinapaswa kubadili mtazamo kuepusha vifo visivyo vya lazima.
Yes ni lazima tubadilishe mitazamo kwa kweli wengi wanaona ndoa kama jela ati ukiingia huwez toka.
Kuachana ni suluhisho pale unapochoka
 
Pengine ushawahi kuisikia hii stori.

Kuna mmakonde mkewe alikua malaya sana jamaa akipita mtaani ananyooshewa vidole.
Siku hiyo anarudi nyumbani akakutana na watoto wa shule ya msingi wakisimulia kua wamempiga fiesta mke wa jamaa.

Jamaa akafika nyumbani kwa ghadhabu anamwambia mkewe "Iyeee kukitembeza ntaa njima umeona haitochi umewapelekea mpaka watoto baah, nitafungulia n'jiki chidi mia chaba na mimi nigawe nkundu ntaa wote huu...halafu tuwaulije nani ntamu"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanamke? Nifanyie ujinga lkn sio usaliti. Usaliti nikauthibitisha nilazima tuachane tu tena nbora uniache mapema kabla sijajua, kwasababu nikijua ,ukiona sijakuacha km weee ni mpenzi/mchumba tutaishia tu kukutumia lkn sitokaa nifanye hatua nyingine yabhapo naabadae bado tutaachana tu kwasababu hata mahusiano yenyewe hatokaa ayafurahie tena,..... Shida moja nilonayo nimgumu kusahau na msamaha wangu unategemea nakosa .

Simpo.
Mkuu umegonga keyboard kwa hisia kali mno. Nikuulize tu kuwa wewe huwa ni mwaminifu katika mahusiano? Yaani ukiwa na mpenzi au mke no cheating kabisa? Kama jibu ni NDYO basi nimekuelewa hisia zako ila kama huwa una cheat basi chukulia poa na ukichapiwa ni siri ya ndani
 
Back
Top Bottom