Wanawake mtambue mwanaume kuvumilia usaliti ni 1 kati ya 10 chezeni kwa step

Wanawake mtambue mwanaume kuvumilia usaliti ni 1 kati ya 10 chezeni kwa step

Wanawake tuna mioyo ya kipekee kwakweli..


Cc Smart911
Kama ilivyo kwa wanaume Mahondaw pia ni lazima mtambue saikolojia ya mwanaume. Sisi hatuendeshwi na "emotions " kama nyie sisi tunaendeshwa na "logic"

Nilikuwa nasoma mahali yule dada aliuwawa mkuranga juzi na mpenziwe maoni ya wanawake wengi wanasikitika sana na kuona ni kitendo cha kinyama Sana amefanyiwa wakati kosa lake ni dogo tu la kucheat. Lakini kama umefuatilia yule mwanaume alipoulizwa pale kwenye tukio alijibu bila wasiwasi kwamba na yeye ana moyo wa nyama. Najaribu kuwaeleza haya wanawake ili mtambue saikolojia ya mwanaume linapokuja suala la udanganyifu katika mapenzi.
 
Kama mwanamme imani yangu nikuhakikisha nitatimiza yotenyaloyangu...alafu nifanye ivo mtu unisaliti?? Cheeeeeee utegemeee nakusemehee?? .

Hapana kwakweli ... Usaliti nichanzo cha kifo..... Sitaki kufa sababu ya mtu .
Haahahaha naona mkuu umepata moto kabisa duuh hii ni hatari
 
Ukiona ndoa imevunjika ujue mwanaume kasababisha, (Ishi na mke wako kwa ajili)
 
Ila Mungu akiwa upande wenu ndoa hudumu kwa amani
 
Mimi niseme tu ni kweli usaliti wa mwanamke hauvumiliki ni tofaut na mwanaume hiyo iko hivyo tangu kuumbwa kwa ulimwengu na hatuwezi libadilisha hilo.

Ila kitu kimoja nanyi wanaume mnajisahau sana jaribuni kutuheshim wake zenu maana tunajua dhahiri kuwa mnachepuka lakini msituonyeshe tafadhali fanyeni kwa akili na heshima,usipigiwe simu usiku,usitumiwe msg usiku,ukitumiwa picha futa,,hiyo simu yako ni yangu pia vipi nikishika nikakuta picha za ajabu za wanawake wengine?it hurts more.

Tambueni kwamba hakuna mwanamke mwenye akili timamu atachepuka endapo anatimiziwa kila mahitaji muhimu toka kwa mumewe na heshima anaipata wakati mwingine wanaume mnasababisha usaliti na mnajijua hamuwezi vumilia usaliti.

Nasi wanawake tuombe Mungu atupe uvumilivu na hekima ya kuhandle shida na namna sahihi ya kuzitatua
 
Back
Top Bottom